Je, Hayati Mkapa hakuwa na Chawa? Sioni wanaomkumbuka

Je, Hayati Mkapa hakuwa na Chawa? Sioni wanaomkumbuka

Ndio maana tunawashauri viongozi wa Nchi yetu wajikite kutimiza malengo na uzalendo kwa Taifa lao waachane na vipaumbele vya vyama vyao.

Chawa huwa wanakuzunguka na kukupigia makofi pale tu unapokuwa Madarakani.

Ukiondoka wanakutupa wanahamia kwa mwingine mwenye uwezo wa kuwapa vyeo, fursa na favor mbali mbali.

Hayati Benajamin Mkapa Rais wa Awamu ya Tatu sioni watu wakikumbuka siku yake ya kuaga dunia.

Ndio kusema yeye hakuwa na kundi la chawa wake?

Je, tarehe yake ya maombolezo ni lini?

Hata Chama nacho kinapotezea mtu muhimu kwao?
Na ukweli ni kuwa Hayati Mkapa was the best president of all. Alifanya mambo makubwa sana. Na kama baada ya Mkapa wangekuja wengine wa namna ile ile, tusingekuwa hapa tulipo leo. Alikuwa ni kiongozi hasa, alitefanya kazi kubwa katika kutengeneza mifumo ya koutawala na uongozi.

Ndiye kiongozi pekee Duniani aliyeweza kushusha inflation toka 30% mpaka 4% ndani ya kioindi cha chini ya miaka 10. Hakuna Rais yeyote Duniani aliyewahi kufanikiwa kufanya hivyo.

Aliuchukua Urais hazina ikiwa na zero balance, akaondoka akiwa ameiacha na $5 billion. Nchi ikatola kwenye usafiri wa umma wa chai maharage na kwenda kwenye mabasi. Barabara zilizokuwa mahandaiki matupu, zikaanza kuwekewa lami.

Jitihada za Mkapa kwenye kufufua uchumi uliokuwa umekufa, tukiwa hatukopesheki, na nchi wahisani wakiwa wamesababisha misaada yote, ndizo ziliifanya nchi kufutiwa madeni yake yote.

Kikwete alipoingia tu madarakani, na kuiona hazina imenona, akazitapanya pesa za hazina kwa kuanzisha mradi wa kipuuzi ulioitwa "mabilioni ya Kikwete", akaanza kufanya utalii wa Dunia nzima akiamini nchi inaweza kuendelea kwa kupewa misaada. Kilwete akasema kuwa huko nje kuna pesa nyingi, kiongozi unachotakiwa kufanya ni kuongea ueleweke, utapewa pesa. Mkapa akang'aka, akasema, "kukitokea siku akapatikana kiongozi, akawaambieni kuwa nchi hii inaweza kuendelea kwa kupewa misaada, mwambieni, wewe ni mpumbavu".
 
Ndio maana tunawashauri viongozi wa Nchi yetu wajikite kutimiza malengo na uzalendo kwa Taifa lao waachane na vipaumbele vya vyama vyao.

Chawa huwa wanakuzunguka na kukupigia makofi pale tu unapokuwa Madarakani.

Ukiondoka wanakutupa wanahamia kwa mwingine mwenye uwezo wa kuwapa vyeo, fursa na favor mbali mbali.

Hayati Benajamin Mkapa Rais wa Awamu ya Tatu sioni watu wakikumbuka siku yake ya kuaga dunia.

Ndio kusema yeye hakuwa na kundi la chawa wake?

Je, tarehe yake ya maombolezo ni lini?

Hata Chama nacho kinapotezea mtu muhimu kwao?
Na ukweli ni kuwa Hayati Mkapa was the best president of all. Alifanya mambo makubwa sana. Na kama baada ya Mkapa wangekuja wengine wa namna ile ile, tusingekuwa hapa tulipo leo. Alikuwa ni kiongozi hasa, alitefanya kazi kubwa katika kutengeneza mifumo ya koutawala na uongozi.

Ndiye kiongozi pekee Duniani aliyeweza kushusha inflation toka 30% mpaka 4% ndani ya kioindi cha chini ya miaka 10. Hakuna Rais yeyote Duniani aliyewahi kufanikiwa kufanya hivyo.

Aliuchukua Urais hazina ikiwa na zero balance, akaondoka akiwa ameiacha na $5 billion. Nchi ikatola kwenye usafiri wa umma wa chai maharage na kwenda kwenye mabasi. Barabara zilizokuwa mahandaiki matupu, zikaanza kuwekewa lami.

Jitihada za Mkapa kwenye kufufua uchumi uliokuwa umekufa, tukiwa hatukopesheki, na nchi wahisani wakiwa wamesababisha misaada yote, ndizo ziliifanya nchi kufutiwa madeni yake yote.

Kikwete alipoingia tu madarakani, na kuiona hazina imenona, akazitapanya pesa za hazina kwa kuanzisha mradi wa kipuuzi ulioitwa "mabilioni ya Kikwete", akaanza kufanya utalii wa Dunia nzima akiamini nchi inaweza kuendelea kwa kupewa misaada. Kilwete akasema kuwa huko nje kuna pesa nyingi, kiongozi unachotakiwa kufanya ni kuongea ueleweke, utapewa pesa. Mkapa akang'aka, akasema, "kukitokea siku akapatikana kiongozi, akawaambieni kuwa nchi hii inaweza kuendelea kwa kupewa misaada, mwambieni, wewe ni mpumbavu".
 
Na ukweli ni kuwa Hayati Mkapa was the best president of all. Alifanya mambo makubwa sana. Na kama baada ya Mkapa wangekuja wengine wa namna ile ile, tusingekuwa hapa tulipo leo. Alikuwa ni kiongozi hasa, alitefanya kazi kubwa katika kutengeneza mifumo ya koutawala na uongozi.

Ndiye kiongozi pekee Duniani aliyeweza kushusha inflation toka 30% mpaka 4% ndani ya kioindi cha chini ya miaka 10. Hakuna Rais yeyote Duniani aliyewahi kufanikiwa kufanya hivyo.

Aliuchukua Urais hazina ikiwa na zero balance, akaondoka akiwa ameiacha na $5 billion. Nchi ikatola kwenye usafiri wa umma wa chai maharage na kwenda kwenye mabasi. Barabara zilizokuwa mahandaiki matupu, zikaanza kuwekewa lami.

Jitihada za Mkapa kwenye kufufua uchumi uliokuwa umekufa, tukiwa hatukopesheki, na nchi wahisani wakiwa wamesababisha misaada yote, ndizo ziliifanya nchi kufutiwa madeni yake yote.

Kikwete alipoingia tu madarakani, na kuiona hazina imenona, akazitapanya pesa za hazina kwa kuanzisha mradi wa kipuuzi ulioitwa "mabilioni ya Kikwete", akaanza kufanya utalii wa Dunia nzima akiamini nchi inaweza kuendelea kwa kupewa misaada. Kilwete akasema kuwa huko nje kuna pesa nyingi, kiongozi unachotakiwa kufanya ni kuongea ueleweke, utapewa pesa. Mkapa akang'aka, akasema, "kukitokea siku akapatikana kiongozi, akawaambieni kuwa nchi hii inaweza kuendelea kwa kupewa misaada, mwambieni, wewe ni mpumbavu".
Aise huyu Mwamba ana mengi aliyofanya lakini hayasemwi
 
Lakini hawa wa siku hizi hawategemei kura, unalifahamu hilo?
Hawategemei kura ila pia ushawishi kwenye chama una umuhimu, ukikosa ushawishi kwenye chama ndo umeshaaga mashindano, ndo maana wanahangaikaga kupita kwenye chama wakitoboa wanajua huko mbele hakuna shida
 
Ndio maana tunawashauri viongozi wa Nchi yetu wajikite kutimiza malengo na uzalendo kwa Taifa lao waachane na vipaumbele vya vyama vyao.

Chawa huwa wanakuzunguka na kukupigia makofi pale tu unapokuwa Madarakani.

Ukiondoka wanakutupa wanahamia kwa mwingine mwenye uwezo wa kuwapa vyeo, fursa na favor mbali mbali.

Hayati Benajamin Mkapa Rais wa Awamu ya Tatu sioni watu wakikumbuka siku yake ya kuaga dunia.

Ndio kusema yeye hakuwa na kundi la chawa wake?

Je, tarehe yake ya maombolezo ni lini?

Hata Chama nacho kinapotezea mtu muhimu kwao?
kwani nani kaomboleza kifo cha yule mshamba zaidi ya familia yake? Mtu pekee nchi hii siku ya ya kufa inaadhimishwa ni baba wa Taifa. Magufuli ni lile kundi la sukuma gang wanang'ang'aniza na kulazimisha asisahaulike, subiri awamu ya pili ya mama km kuna kima litamkubuka. Sahivi bado wanalitumia jina la Magu kwa maslahi yao binafsi na kupima upepo.
 
Hawategemei kura ila pia ushawishi kwenye chama una umuhimu, ukikosa ushawishi kwenye chama ndo umeshaaga mashindano, ndo maana wanahangaikaga kupita kwenye chama wakitoboa wanajua huko mbele hakuna shida
Okay
 
Ndiyo Rais pekee alijenga uchumi.vitu na usafiri haukupanda bei miaka 10.
 
Makabila ya kusini hayana ushamba, hayana ukabila wala hawapendi sifa za kijinga na ni vichwa. Mkapa alikuwa kichwa hakuwa na muda wa propaganda za kujisifu, kuendekeza ukabila na maujinga mengine km aliyokuwa anayafanya Magu. Magu ni mtu wa makuu, mtu wa makundi, mkabila, mbaguzi, katili. Hajawahi tokea rais wa hovyo nchi hii km yule mshamba wa kisukuma. Halafu kumbuka bila Mkapa Magu asingeiona ikulu. Wasukuma ni washamba, wabaguzi, wanapenda sifa za kijinga.
 
Ndio maana tunawashauri viongozi wa Nchi yetu wajikite kutimiza malengo na uzalendo kwa Taifa lao waachane na vipaumbele vya vyama vyao.

Chawa huwa wanakuzunguka na kukupigia makofi pale tu unapokuwa Madarakani.

Ukiondoka wanakutupa wanahamia kwa mwingine mwenye uwezo wa kuwapa vyeo, fursa na favor mbali mbali.

Hayati Benajamin Mkapa Rais wa Awamu ya Tatu sioni watu wakikumbuka siku yake ya kuaga dunia.

Ndio kusema yeye hakuwa na kundi la chawa wake?

Je, tarehe yake ya maombolezo ni lini?

Hata Chama nacho kinapotezea mtu muhimu kwao?
Magufuli alikuwa mcha mungu siyo like jinamizi la kuua ovyo ovyo na kufoka foka bila pango
 
Magufuli alikuwa tofauti na hao wote...Magufuli alipenda sana lakini pia alichukia sana.

Magufuli alikuwa mkali sana lakini pia alipenda utani sana.

Alikuwa na misimamo isiyotetereka..kwake yeye rafiki ni yule aliyependa kufanya kazi na kutanguliza mbele maslahi ya nchi..kinyume na hapo hata ungekuwa mtoto wake angekutengua tu kiuno tena bila unafiki, waziwazi.

Aliamini katika kuweza na kujiamini..alikuwa mtu mwenye uthubutu bila kujali watu wanasemaje au watamuonaje lakini ukijichanganya ukaingia kwenye kumi na nane zake anakutandika haswa..hapa anakuwa totally animal.



Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana tunawashauri viongozi wa Nchi yetu wajikite kutimiza malengo na uzalendo kwa Taifa lao waachane na vipaumbele vya vyama vyao.

Chawa huwa wanakuzunguka na kukupigia makofi pale tu unapokuwa Madarakani.

Ukiondoka wanakutupa wanahamia kwa mwingine mwenye uwezo wa kuwapa vyeo, fursa na favor mbali mbali.

Hayati Benajamin Mkapa Rais wa Awamu ya Tatu sioni watu wakikumbuka siku yake ya kuaga dunia.

Ndio kusema yeye hakuwa na kundi la chawa wake?

Je, tarehe yake ya maombolezo ni lini?

Hata Chama nacho kinapotezea mtu muhimu kwao?
Hata wampotezee siyo mbaya mimi kwangu ndiye Rais bora wa muda wote.
 
Back
Top Bottom