Kama kuna Mtaalam wa Afya anisaidie hivi kwamfano mtu akipima na akakuta anamimba halafu baada ya siku ya hedhi akatokwa na damu kwa siku moja tu kisha akaenda hospital kuangalia.
Akaambiwa ujauzito umetoka japo akipima kipimo cha mkojo kinaonyesha ana mimba ila ultrasound inasema mimba imetoka kumbuka hapo nimimba ya Wiki Mbili tu.
Halafu baada ya Wiki moja kupita akaanza kuhisi dalili za mimba wakati hapo awali hakua nazo.
Sasa inanichanganya itakua imetoka kweli au itakua bado ipo?
Akaambiwa ujauzito umetoka japo akipima kipimo cha mkojo kinaonyesha ana mimba ila ultrasound inasema mimba imetoka kumbuka hapo nimimba ya Wiki Mbili tu.
Halafu baada ya Wiki moja kupita akaanza kuhisi dalili za mimba wakati hapo awali hakua nazo.
Sasa inanichanganya itakua imetoka kweli au itakua bado ipo?