Je hii inaeleweka?

Afadhali umepooza moyo wangu hapo lol.

Hahh Maty wee! Mie tena nshakuwa kibogoyo kwenye mambo hizo tena. Huu moyo ulojaa viraka ka gunia la misumari, kupenda tena mtihani bibi wewe!

Ni hawa wenye meno yao
 

una-heat an run maana hajielewi wala kujitambua..........na wanawake wengi ndo kauli zenu..bora utafute trick zingine za kumzungusha mwanamke lakini sio kumwambia eti nilishaumizwa sana....ulikatwa mapanga y akichwa au?
 
una-heat an run maana hajielewi wala kujitambua..........na wanawake wengi ndo kauli zenu..bora utafute trick zingine za kumzungusha mwanamke lakini sio kumwambia eti nilishaumizwa sana....ulikatwa mapanga y akichwa au?
Hahah mkonowapaka umeamua kulitema kaa la moto weye!!
Afadhali umeliweka hili maana wengi wetu tunafikiri anayesema hayo ni mwanamme tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…