Je, hii 'Media Blackout' ya leo juu ya tukio zima la uchukuaji fomu wa Tundu Lissu ndiko kumuenzi vyema Mwanahabari Hayati Rais Mkapa?

Kwani chadema nyie si huwa mnarushwa DW, BBC, VOA, KTN.
Vyombo vya kimataifa mna shida gani na hutu tu media twa humu humu?
 
Kwa kweli katika hali ya kawaida ikatokea umetarget MTU kumuua ukajua umemaliza kazi afu baadae sana unamwona anaibika na kukunyooshea kidole kuwa ulitaka kumuua bila shaka utapatwa na hofu sana. Bila kumungunya maneno huyu mgombea wa CHADEMA anatia watu hofu na ikiwa atakuja kuwa rais siku moja atajijengea historia kuliko hata viongozi wa kiafrika waliopigania uhuru.
 
Me nadhani kwa namna nyingine wanamsaidia TL indirectly mana umaarufu wake unazidi kupaa kuliko miundombinu mana tushachoka kusikia mambo ya tumetekeleza 😂😂😂na kosa jingine kubwa nikuzuia watu kufanya siasa kwa kusubiri uchaguzi huo ulikuwa uamuzi mbovu kuwahi kutokea mana ni sawa kuwashindisha watu na njaa halafu sasa chakula ndio kimepatikana too late kwa tawala mambo yashakuwa sio mambo watu wana hamu sana na siasa kwakua siasa ndio maisha yetu hivyo media na yeyote yule ameshachelewa now kipyenga kishalia na hawajajipanga kwa haya kwauhakika.
 
Naunga mkono hoja, maCCM yatawahujumu sana CDM kupitia vyombo vya habari. Ni muhimu CDM ichukue tahadhari mapema, sasahivi karibu kila mwananchi ameshasikia habari za social media na wengi wao kupata taarifa kupitia huko. Saa ya Ukombozi ni Sasa
 
Wanunue kwa pesa ipi umewapa wewe pesa zote za ruzuku walizilamba zote Sasa wanalia Lia media ziwatangaza Bure utafikiri media Ni Charity organization !!! Kuwa wakirusha hewani wanarusha bure wafanyakazi watangazaji,makundi mitambo nk kuwa Ni wa Bure na umeme Ni bure,na leseni Yao Ni bure !!!!

So kulalamika hawaruhushwi hewani hawana pesa za kununua vifurushi vya air time na kuandikwa magazetini kununua kurasa
 

Tokea nikujue hapa Jamvini JamiiForums japo ni 'Mkongwe' ila hujawahi kuwa na 'Akili' na hata Michango yenye 'Tija' ila umejawa na 'Ujuha' sana.
 
Na kibali cha tcra!?????
 
Uliza vizuri
Chadema wamelipia shilingi ngapi?
Au utopolo tu
Duniani hakuna vya bure
 
ccm halisi ilikufa baada ya Awamu ya 3 (RIP BWM) yaliyofuata ni magumashi hamna kitu kelele tu
 
Na kibali cha tcra!?????
Watafute mtu aliye nje ya nchi afungue account ya youtube kisha atume "stream key" kwa warusha matangazo waliopo nchini ili watumie "stream key" ya youtube ya nje ya nchi. Kisha baada ya hapo ni kuwashauri watu wasubscribe na kushare. Tcra mwisho wao ni hapo Namanga hawana uwezo wa kuzuia youtube account ya nje ya nchi kufanya kazi bongo.


Sheria haijazungumzia juu ya stream key sharing na credential livestreaming rtmp server and video encoding latency keys. Kwa hiyo bado nafasi ipo ya kushare stream key.
Labda wazime internet muda wote wa uchaguzi.
 

Chadema walilipia airtime wakakataliwa?
 

Kweli vichaa mko wengi sana.

Tar 15 tukutane taifa ili kuona maandalizi ya kampeni kupitia wasanii 109 watakaosambaa nchi nzima kuanzia tar 27 agositi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…