Je, hii ndio nchi inayoongozwa kulindwa zaidi duniani ?

Je, hii ndio nchi inayoongozwa kulindwa zaidi duniani ?

Dunia hii iache tu kama ilivyo ugiriki walifirisika ulaya ikawaokoa.

Mali leo inateswa na ugaidi.

Italy ipo ipo tu, Ujerumani anaomba msaada wa U.S kulindwa, Japan ana lala mika China ni wakorofi.

Kweli mbabe wa leo mnyonge wa kesho.

Uingereza ni kupe wa U.S.A
Ongezea russia kavamiwa na ukraine
 
Back
Top Bottom