denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Kwa hoja za matusi hakuna wakukushinda.Woga ukishindwa hoja mnakimbilia ban .haina kufel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hoja za matusi hakuna wakukushinda.Woga ukishindwa hoja mnakimbilia ban .haina kufel
Kukata rufaa ni hatua.Nimekaa na kutafakari juu ya siasa za Tanzania. Maana ni kama zimekosa muelekeo kabisa
Je, ina maana Spika Ndugai na bunge lake waliapisa wabunge ambao hawajapata baraka ya chama chao kuwa wabunge wa viti maalumu?
Kwa nini Spika alijigamba kuwa anawatambua hawa wakina mama wa Chadema ili hali akijua ni kinyume na katiba ya JMT?
Spika alijisahau kuwa katiba ya JMT imetamka wazi kuwa mbunge akikoma kuwa mwanachama anakosa sifa ya kuwa mbunge?
Je kwa ubabe aliouonyesha na kudai atawalinda kwa udi na uvumba,haoni kama wamemuumbua.
My opinion,kiongozi ni mtu kwenye dhamana katika jamii,kama anatakiwa kusimamia haki basi anatakiwa asiwe na double standard. Maana wamama waliofutwa ubunge Chadema leo wanaweza kuwa wamemtia mtu nishai.
Tumia akili we kibwengo.Hayo ni mambo yenu ndani ya chama sisi hayatuhusu
aka misemo ya wahenga.Nyie hamna hata util kidogo kwa katiba mliyoitengeneza wenyewe na kuiasisi wenyewe. Na Sisi tunawasindilia tu mijisindano hadi pale mtakapotambua kuwa taifa hili ni la Watanzania na sio la wana CCM, na hayo matabaka mnayoyaweka kwamba CCM na watu wake ndio raia daraja la kwanza na wapinzani kundi moja na mashetani, hakika vinaleta mpasuko mkubwa sana kwa wananchi. Na Kuna siku inakuja isiyo na jina tutauana wenyewe kwa wenyewe.
Kuna msemo, ukitaka kumuua mbwa, mpe jina baya
Usipoandika wanachokitaka kwao ni taabu tuu maana siku zote hawataki kusikia unachokisema wewe ila wanachotaka kusikia wao
Walimwengu
Hatu ya nini?Kukata rufaa ni hatua.
Chadema wanakiwanda cha matusiKwa hoja za matusi hakuna wakukushinda.
Hongera zako mwenye kazi ya 7000/ buku saba taslimGwajima na mdee wako bungeni wanakula bata nyie endeleeni kupiga kelele humu bila kazi
Lakini sema yule asiye halisi,au fakeSisi ndio wazalendo
Nina kazi nyingi hapa mjini hiyo ya ccm unanipa weweHongera zako mwenye kazi ya 7000/ buku saba taslim
Wewe ndiye huna kazi ndiyo maana unapiga pambio za kusifia udhalimu, ukitoka na buku saba unarudi kwa shemeji yako unakaa kwenye sofa na remote mkononi hata hujui bei ya umeme ndiyo maana unasifia ujinga ujinga tu. Unaishi kwa matumaini ya kuteuliwa.Gwajima na mdee wako bungeni wanakula bata nyie endeleeni kupiga kelele humu bila kazi
Nani alikudanganya kwamba kuna mwanaccm mwenye aibu ?Nimekaa na kutafakari juu ya siasa za Tanzania. Maana ni kama zimekosa muelekeo kabisa
Je, ina maana Spika Ndugai na bunge lake waliapisha wabunge ambao hawajapata baraka ya chama chao kuwa wabunge wa viti maalumu?
Kwa nini Spika alijigamba kuwa anawatambua hawa wakina mama wa Chadema ili hali akijua ni kinyume na katiba ya JMT?
Spika alijisahau kuwa katiba ya JMT imetamka wazi kuwa mbunge akikoma kuwa mwanachama anakosa sifa ya kuwa mbunge?
Je kwa ubabe aliouonyesha na kudai atawalinda kwa udi na uvumba,haoni kama wamemuumbua.
My opinion,kiongozi ni mtu kwenye dhamana katika jamii,kama anatakiwa kusimamia haki basi anatakiwa asiwe na double standard. Maana wamama waliofutwa ubunge Chadema leo wanaweza kuwa wamemtia mtu nishai.
Kha! 😂😂😂😂😂 huu utani wa kizamani sana hahahaWewe ndiye huna kazi ndiyo maana unapiga pambio za kusifia udhalimu, ukitoka na buku saba unarudi kwa shemeji yako unakaa kwenye sofa na remote mkononi hata hujui bei ya umeme ndiyo maana unasifia ujinga ujinga tu. Unaishi kwa matumaini ya kuteuliwa.View attachment 1661787
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Waambie wakupe mambo inavyotakiwa.Wadau nje huku wamenibana sana kwa kweli☺☺
Kha! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu utani wa kizamani sana hahaha
Nani alikudanganya kwamba kuna mwanaccm mwenye aibu ?
Hilo tuu ndilo unalowaza usiku na mchana 😂😂😂😂Waambie wakupe mambo inavyotakiwa.
Mbona kama hupewi vizuri?Hilo tuu ndilo unalowaza usiku na mchana 😂😂😂😂
Hayo mambo ni kawaida sana mbona?
KIAPO CHA CCM
1. Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja.
2.Nitatumikia nchi yangu na watu wake wote.
3.Nitajitolea nafsi yangu kuondoa umasikini, ujinga, maradhi na dhuruma.
4.Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa.
5.Cheo ni dhamana, sutatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.
6.Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kutumia elimu yangu kwa faida ya wote.
7. Nitashirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.
8.Nitasema ukweli daima fitina kwangu ni mwiko.
9.Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika.
Ee mwenyezi Mungu nisaidie
Hebu tuwekee utani wa kidigitali tufurahiKha! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu utani wa kizamani sana hahaha