NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Covid-19 wamefukuzwa na chama kwasababu wametumia haki yao ya kikanuni inayowataka viti maalum kwenda Bungeni.
Wamefumuzwa kwa uonevu tu na hila za wanasiasa uchwara.
kama ni sababu ya uchaguzi kutokuwa huru na wahaki mbona hata 2015 wanadai uchaguzi aukuwa huru na wa haki lakini waliingia Bungeni pamoja na viti maalum?
Wamefumuzwa kwa uonevu tu na hila za wanasiasa uchwara.
kama ni sababu ya uchaguzi kutokuwa huru na wahaki mbona hata 2015 wanadai uchaguzi aukuwa huru na wa haki lakini waliingia Bungeni pamoja na viti maalum?