Crocodiletooth JF-Expert Member Joined Oct 28, 2012 Posts 20,561 Reaction score 24,428 Oct 29, 2022 #1 Nauilza tu waungwana
M marisi schwein JF-Expert Member Joined Dec 3, 2013 Posts 1,037 Reaction score 3,146 Oct 29, 2022 #2 Maji yashakorogeka!
Adolph Jr JF-Expert Member Joined Nov 5, 2016 Posts 5,950 Reaction score 9,511 Oct 29, 2022 #3 Kafanya la maana wakati mwingine watoto wanafikia hadi hatua ya kuwatishia maisha wazazi wao ili kuwapatia urithi wangalipo hai....ila kwa hili kamaliza kila kitu.. Sasa mtoto atatafuta vyake maana kafungiwa vioo
Kafanya la maana wakati mwingine watoto wanafikia hadi hatua ya kuwatishia maisha wazazi wao ili kuwapatia urithi wangalipo hai....ila kwa hili kamaliza kila kitu.. Sasa mtoto atatafuta vyake maana kafungiwa vioo
Zuleykha JF-Expert Member Joined May 20, 2016 Posts 1,247 Reaction score 1,815 Oct 29, 2022 #4 Natamani kujua chanzo cha mzazi huyo kufanya hivyo ...
Solar pro Member Joined Jan 30, 2021 Posts 56 Reaction score 190 Oct 29, 2022 #5 Vijana wanazingua ata kama mim ndie mzazi ningefanya ivo ivo Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Vijana wanazingua ata kama mim ndie mzazi ningefanya ivo ivo Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
To yeye JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 35,686 Reaction score 86,968 Oct 29, 2022 #6 Sawa tu....hii ndo dunia ilipo.Upendo hakuna
evangelical JF-Expert Member Joined Nov 21, 2011 Posts 5,035 Reaction score 8,218 Oct 29, 2022 #7 sio mara ya kwanza ,soma na story ya tajiri huyo maarufu hapo chini Ugomvi wa mali wamsukuma bilionea kumkana mtoto wake Tanzania - BBC News Swahili Kampuni ya Motisun ni moja ya makumpuni makubwa na yenye mafanikio zaidi Tanzania. www.bbc.com
sio mara ya kwanza ,soma na story ya tajiri huyo maarufu hapo chini Ugomvi wa mali wamsukuma bilionea kumkana mtoto wake Tanzania - BBC News Swahili Kampuni ya Motisun ni moja ya makumpuni makubwa na yenye mafanikio zaidi Tanzania. www.bbc.com
Crocodiletooth JF-Expert Member Joined Oct 28, 2012 Posts 20,561 Reaction score 24,428 Oct 29, 2022 Thread starter #8 Kama kijana ana kilobyte za upumbavu zilizojaa ataanzisha Vita na mzee wake mwendo wa kuwindana tabu kweli kweli
Kama kijana ana kilobyte za upumbavu zilizojaa ataanzisha Vita na mzee wake mwendo wa kuwindana tabu kweli kweli