Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yas.Ndo inakuwaje kwamba inapokuwa usiku taa inawaka automatically au?
Ndio usiku inawaka yenyewe na ikifika asubuhi inajizima yenyeweNdo inakuwaje kwamba inapokuwa usiku taa inawaka automatically au?
Pole sanaAngalizo kwenye kuweka hii kitu jitahidi iwe sehemu isiopata mwanga wa taa endapo zikiwaka. Kuna fundi alifunga zangu alafu akaziweka pembeni kabisa ya taa kilichotokea dah vichekesho giza limeingia taa inawaka then inadetect mwanga inazima mpka niliporudi wife haelewi nn tatizo ikabidi nimrudishe fundi tuzihamishe
Wewe itakuwa una mission na hiyo nyumba. Kama sio ya wizi basi ni mapenzi.
"Hidden camera" halafu uione?
Wewe bibi una maneno kama kibonzo"Hidden camera" halafu uione?
kama hukijuwi kitu uliza swali tu, usiongeze na jibu.
Kwani amefanyaje kama sio kuuliza"Hidden camera" halafu uione?
kama hukijuwi kitu uliza swali tu, usiongeze na jibu.
Kafanye homework ule, ujambe, ulale. Kesho shule.Wewe bibi una maneno kama kibonzo
Ameongezea kile yeye amedhani ni sahihi na ameonesha yupo tayari kusahihishwa. Kasahihishwa na jibu kapata."Hidden camera" halafu uione?
kama hukijuwi kitu uliza swali tu, usiongeze na jibu.
Mimi nimeona jibu alilopewa, sina ubishi nalo na kwangu halina utata.Ameongezea kile yeye amedhani ni sahihi na ameonesha yupo tayari kusahihishwa. Kasahihishwa na jibu kapata.
Sasa wewe hata kumjibu tu umeshindwa unaleta ngonjera, bibi vipi.
Km Taj mahal vileYas.
Giza likiingia inaona giza so inaruhusu taa ziwashwe automatically
Uzi ufungwe kwa comment hii.Photo cell
Ya kuwashia taa na kuzima automatic
NakziaUzi ufungwe kwa comment hii.