Je, hii ni hidden camera?

Je, hii ni hidden camera?

Bijang

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2016
Posts
368
Reaction score
724
Nimeikuta mahali sijaijua ni nini hii au hidden camera?

Msaada hapa wakuu.

Screenshot_20230725-075857.jpg
 
Angalizo kwenye kuweka hii kitu jitahidi iwe sehemu isiopata mwanga wa taa endapo zikiwaka. Kuna fundi alifunga zangu alafu akaziweka pembeni kabisa ya taa kilichotokea dah vichekesho giza limeingia taa inawaka then inadetect mwanga inazima mpka niliporudi wife haelewi nn tatizo ikabidi nimrudishe fundi tuzihamishe
 
Angalizo kwenye kuweka hii kitu jitahidi iwe sehemu isiopata mwanga wa taa endapo zikiwaka. Kuna fundi alifunga zangu alafu akaziweka pembeni kabisa ya taa kilichotokea dah vichekesho giza limeingia taa inawaka then inadetect mwanga inazima mpka niliporudi wife haelewi nn tatizo ikabidi nimrudishe fundi tuzihamishe
Pole sana
 
Ameongezea kile yeye amedhani ni sahihi na ameonesha yupo tayari kusahihishwa. Kasahihishwa na jibu kapata.

Sasa wewe hata kumjibu tu umeshindwa unaleta ngonjera, bibi vipi.
Mimi nimeona jibu alilopewa, sina ubishi nalo na kwangu halina utata.

Utata nimeuona kwa muulizaji. Hilo ni somo, siyo kwake tu, bali na kwa wengine. Tunapouliza swali tusijifanye tunajuwa jibu. Ni ujinga.

Kuuliza si ujinga.
 
Back
Top Bottom