Mnawatishaga watu Sanaa mjuee,, kheee[emoji26]3 bedroom house,
Boma na kuezela on average ni 22-27 M,
Finishing ya kuingia ndani mi 13, finishing ya ukweli kabisa ni 25M,
In total uwe na 50M ili nyumba iwe classic, Ila kama ni kuhamia Tu then finishing nyingine umalize ukiwa ndani basi Anza na 35M
Pesa ya kuanzisha kampuni kabisa hii 50M3 bedroom house,
Boma na kuezela on average ni 22-27 M,
Finishing ya kuingia ndani mi 13, finishing ya ukweli kabisa ni 25M,
In total uwe na 50M ili nyumba iwe classic, Ila kama ni kuhamia Tu then finishing nyingine umalize ukiwa ndani basi Anza na 35M
Nmeogopa hata mimiMnawatishaga watu Sanaa mjuee,, kheee[emoji26]
Uwongo3 bedroom house,
Boma na kuezela on average ni 22-27 M,
Finishing ya kuingia ndani mi 13, finishing ya ukweli kabisa ni 25M,
In total uwe na 50M ili nyumba iwe classic, Ila kama ni kuhamia Tu then finishing nyingine umalize ukiwa ndani basi Anza na 35M
Umewahi kujenga wewe?Uwongo
3. Huo ukuta nadhani umeachwa mahsusi kwaajili ya decoration ya TV wall.Ramani nzuri lakini mimi ningekuwa mchoraji ningefanya mabadiliko matatu.
1. Front porch (baraza la mbele) ningeiweka hilo eneo kati ya dining na living room, hii ingesaidia kusave nafasi kwa mahali ambapo hilo baraza lipo sasa kuondoka
2. Ningefanya vertical flip ya masterroom, yaani kulipo mashariki kuwe magharibi na kinyume chake, nia ya kufanya hivi ni ili nifanye sebule iwe wazi zaidi kwa kuangusha huo ukuta unaotenga sebule na korodo ili uwe wazi (open floor concept).
3. Ningetoa huo mlango wa sasa kutoka sebule kwenda vyumbani.
1. Unakuta mahitaji yake anataka sebule iwe na madirisha mengi ili hewa ipite kwa wingi. Akiweka baraza hapo kati inapoteza mwonekano na itafanya madirisha yawe madogo au yasiwepo kabisa.Ramani nzuri lakini mimi ningekuwa mchoraji ningefanya mabadiliko matatu.
1. Front porch (baraza la mbele) ningeiweka hilo eneo kati ya dining na living room, hii ingesaidia kusave nafasi kwa mahali ambapo hilo baraza lipo sasa kuondoka
2. Ningefanya vertical flip ya masterroom, yaani kulipo mashariki kuwe magharibi na kinyume chake, nia ya kufanya hivi ni ili nifanye sebule iwe wazi zaidi kwa kuangusha huo ukuta unaotenga sebule na korodo ili uwe wazi (open floor concept).
3. Ningetoa huo mlango wa sasa kutoka sebule kwenda vyumbani.
3. Huo ukuta nadhani umeachwa mahsusi kwaajili ya decoration ya TV wall.
1. Unakuta mahitaji yake anataka sebule iwe na madirisha mengi ili hewa ipite kwa wingi. Akiweka baraza hapo kati inapoteza mwonekano na itafanya madirisha yawe madogo au yasiwepo kabisa.
Vilevile kwa kuweka baraza iliyo extend mbele namna hyo inasaidia kupaua kwa kuweka "gebo" ambapo inaleta mwonekano mzuri zaidi.