Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 2,737
- 5,464
Habari nyingi wakuu..
Katika ujenzi ambao nataka nianze Inshaallah baada ya kumaliza mambo mengine sasa nimechorowe ramani hii hapa kutokana na nyumba yangu nataka iwe hivi.
Hivyo basi wakuu humu kuna magwiji wa haya mambo ya ramani pamoja na ujenzi wake.Naomba kufahamu kutoka kwenu je hii ramani ipo sawa ama la.
Vipi hadi kuisha kwake gharama zake Shilingi ngapi?
Nawasilisha.
Katika ujenzi ambao nataka nianze Inshaallah baada ya kumaliza mambo mengine sasa nimechorowe ramani hii hapa kutokana na nyumba yangu nataka iwe hivi.
Hivyo basi wakuu humu kuna magwiji wa haya mambo ya ramani pamoja na ujenzi wake.Naomba kufahamu kutoka kwenu je hii ramani ipo sawa ama la.
Vipi hadi kuisha kwake gharama zake Shilingi ngapi?
Nawasilisha.