Je, hii ramani imekamilika?

Je, hii ramani imekamilika?

Haija kamilika mkuu kama eneo inapokwenda kujengwa ni surveyed area
 
Habari nyingi wakuu..

Katika ujenzi ambao nataka nianze Inshaallah baada ya kumaliza mambo mengine sasa nimechorowe ramani hii hapa kutokana na nyumba yangu nataka iwe hivi.

Hivyo basi wakuu humu kuna magwiji wa haya mambo ya ramani pamoja na ujenzi wake.Naomba kufahamu kutoka kwenu je hii ramani ipo sawa ama la.

Vipi hadi kuisha kwake gharama zake Shilingi ngapi?

Nawasilisha.
Masterbedroom inahitaji dirisha la pili
 
Kujenga mpka uhamie andaa kati ya Milioni 34 had 68 kwa kutegemea eneo ulipo,bei za material bei za fundi na ubora wa kazi unaotaka.Hii ni mpaka kukamilika
 
Ramani nzuri lakini mimi ningekuwa mchoraji ningefanya mabadiliko matatu.

1. Front porch (baraza la mbele) ningeiweka hilo eneo kati ya dining na living room, hii ingesaidia kusave nafasi kwa mahali ambapo hilo baraza lipo sasa kuondoka

2. Ningefanya vertical flip ya masterroom, yaani kulipo mashariki kuwe magharibi na kinyume chake, nia ya kufanya hivi ni ili nifanye sebule iwe wazi zaidi kwa kuangusha huo ukuta unaotenga sebule na korodo ili uwe wazi (open floor concept).

3. Ningetoa huo mlango wa sasa kutoka sebule kwenda vyumbani.
Je hauna mchoro kwa hiyo idea yako?
 
1. Hakuna ulazima wa kuweka mlango kati ya dining na kitchen
2. Mlango wa Public toilet ingekua mwanzoni hapo ingekua poa zaidi.
3. Very long corridor ni wastage of space.
4. Ingekuwepo opening kati ya corridor na sitting room ingependeza
5. Mlango wa kitchen na lounge ifungukie nje.
................ Etc
Any drawing?
 
Habari nyingi wakuu..

Katika ujenzi ambao nataka nianze Inshaallah baada ya kumaliza mambo mengine sasa nimechorowe ramani hii hapa kutokana na nyumba yangu nataka iwe hivi.

Hivyo basi wakuu humu kuna magwiji wa haya mambo ya ramani pamoja na ujenzi wake.Naomba kufahamu kutoka kwenu je hii ramani ipo sawa ama la.

Vipi hadi kuisha kwake gharama zake Shilingi ngapi?

View attachment 2107737

Nawasilisha.
Ramani nzuri boss.
 
Habari nyingi wakuu..

Katika ujenzi ambao nataka nianze Inshaallah baada ya kumaliza mambo mengine sasa nimechorowe ramani hii hapa kutokana na nyumba yangu nataka iwe hivi.

Hivyo basi wakuu humu kuna magwiji wa haya mambo ya ramani pamoja na ujenzi wake.Naomba kufahamu kutoka kwenu je hii ramani ipo sawa ama la.

Vipi hadi kuisha kwake gharama zake Shilingi ngapi?

View attachment 2107737

Nawasilisha.
Unajenga GHOROFA au ya kawaida?
 
Habari nyingi wakuu..

Katika ujenzi ambao nataka nianze Inshaallah baada ya kumaliza mambo mengine sasa nimechorowe ramani hii hapa kutokana na nyumba yangu nataka iwe hivi.

Hivyo basi wakuu humu kuna magwiji wa haya mambo ya ramani pamoja na ujenzi wake.Naomba kufahamu kutoka kwenu je hii ramani ipo sawa ama la.

Vipi hadi kuisha kwake gharama zake Shilingi ngapi?

View attachment 2107737

Nawasilisha.
Hiyo passage ya kuingilia master ningeipunguza na kuhamisha huo mlango ili nipate sehem ya dressing room
 
Habari nyingi wakuu..

Katika ujenzi ambao nataka nianze Inshaallah baada ya kumaliza mambo mengine sasa nimechorowe ramani hii hapa kutokana na nyumba yangu nataka iwe hivi.

Hivyo basi wakuu humu kuna magwiji wa haya mambo ya ramani pamoja na ujenzi wake.Naomba kufahamu kutoka kwenu je hii ramani ipo sawa ama la.

Vipi hadi kuisha kwake gharama zake Shilingi ngapi?

View attachment 2107737

Nawasilisha.
aisee imetulia hii. mzeya sittng room ya 6 x 5 metres sio mchezo, hapo sii unaweza ruka sarakasi kabisa mwanawane.
marekebisho nayo ona mie yapo kwenye master bedroom. chumba kina dirish moja tuu wakati ukiangalia hivi vingine vina madirisha mawili. ikiwezekana pia hiyo master bathroom ilete huku kushoto ili kuwe na privacy kidogo kwa baba mwenye nyumba. yaani kuwe na na bathroom kati ya master na hicho chumba kingine.

mzeya hii ndio inakula mamillion mangapi?
 
Ukitaka kufanya kitu chako ukija kuomba ushauri humu utakata tamaa.
kwa nini ukate tamaa? hapa mbona tunapata different views. wewe unachukuwa kile unaona kinafaa.
kwanza kwa kuweka hapa ata wengine tunanufaika.
kama mie hii nimeipenda nita adjust kidogo naanza ujunzi mwezi wa tisa
 
Back
Top Bottom