Je, hii ramani imekamilika?

Je, hii ramani imekamilika?

Mkuu, hata baraza likihamia hapo nimetaja halitazuia uwepo wa madirisha mengi na sijajua hiyo theory ya kwamba baraza hupunguza ukubwa dirisha umeitoa wapi?

Kuna uwezekano baraza likawa la 'gebo' au slab, hatuna uhakika kwa sababu ramani haijaonesha mchoro wa bati
Kwa viwanja vyetu hivi vidogo hapo gari inakaa vizuri unapotaka kuweka. baraza
 
aisee imetulia hii. mzeya sittng room ya 6 x 5 metres sio mchezo, hapo sii unaweza ruka sarakasi kabisa mwanawane.
marekebisho nayo ona mie yapo kwenye master bedroom. chumba kina dirish moja tuu wakati ukiangalia hivi vingine vina madirisha mawili. ikiwezekana pia hiyo master bathroom ilete huku kushoto ili kuwe na privacy kidogo kwa baba mwenye nyumba. yaani kuwe na na bathroom kati ya master na hicho chumba kingine.

mzeya hii ndio inakula mamillion mangapi?
Sitting room ya 4x5 inatosha sana
 
Habari nyingi wakuu..

Katika ujenzi ambao nataka nianze Inshaallah baada ya kumaliza mambo mengine sasa nimechorowe ramani hii hapa kutokana na nyumba yangu nataka iwe hivi.

Hivyo basi wakuu humu kuna magwiji wa haya mambo ya ramani pamoja na ujenzi wake.Naomba kufahamu kutoka kwenu je hii ramani ipo sawa ama la.

Vipi hadi kuisha kwake gharama zake Shilingi ngapi?

View attachment 2107737

Nawasilisha.
Siqwz kujenga nyumba halafu Master ikae nyuma hata siku moja.
Naona kama Comfortability inapungua.
Master napendelea ikae jiran na Sebule baada ya Dining kuwe na master Ten yenye Dirisha mbili siyo moja

Mytake: Sababj za kiusalama
 
Siqwz kujenga nyumba halafu Master ikae nyuma hata siku moja.
Naona kama Comfortability inapungua.
Master napendelea ikae jiran na Sebule baada ya Dining kuwe na master Ten yenye Dirisha mbili siyo moja

Mytake: Sababj za kiusalama

Usalama gani!?,unaishi Iraq,hata kama master ikiwa nje watu wakikutaka hawakukosi
 
bedroom house,
Boma na kuezela on average ni 222-227 M,
Finishing ya kuingia ndani mi 133, finishing ya ukweli kabisa ni 355M,
In total uwe na 500M ili nyumba iwe classic, Ila kama ni kuhamia Tu then finishing nyingine umalize ukiwa ndani basi Anza na 355M au milion 1 kama unataka low quality house
 
Siqwz kujenga nyumba halafu Master ikae nyuma hata siku moja.
Naona kama Comfortability inapungua.
Master napendelea ikae jiran na Sebule baada ya Dining kuwe na master Ten yenye Dirisha mbili siyo moja

Mytake: Sababj za kiusalama
Ndugu kila mtu ana sababu zake, kwako unaonelea hivyo, mwingine anasema kelele za sitting room, pia kama mkeo ni wa kupiga kelele kila anaepita mitaa hiyo anasikia
 
bedroom house,
Boma na kuezela on average ni 222-227 M,
Finishing ya kuingia ndani mi 133, finishing ya ukweli kabisa ni 355M,
In total uwe na 500M ili nyumba iwe classic, Ila kama ni kuhamia Tu then finishing nyingine umalize ukiwa ndani basi Anza na 355M au milion 1 kama unataka low quality house
Gharama hizo unajenga baharini ama wapi oysterbay?
 
Back
Top Bottom