Je, hiki anacho fanya Russia ni kisasi dhidi ya wale wanao muunga mkono Ukraine hasa Ufaransa?

Je, hiki anacho fanya Russia ni kisasi dhidi ya wale wanao muunga mkono Ukraine hasa Ufaransa?

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Kwa wale wafuasi wa magharibi na baadhi ya wachambuzi wanajaribu kuweka mitazamo yao kuhusu hali aliyonayo Russia pale Ukraine

Wengi wamekuwa wakisema Urusi ana hali ngumu na anajaribu kupoteza kila siku, lakini pia tujiulize je vipi kuhusu hali walizonazo zile nchi zinazo toa support kwa Ukraine?

Hapa tumtazame ufaransa na maslahi yake magharibi mwa Afrika kila uchwao yanazidi kuwekwa rehani na Russia kupitia njia ya mapinduzi yanayo tokea magharibi mwa Afrika.

Influence ya Russia Afrika inazidi kuongezeka kwa kasi Afrika hasa katika yale yaliyokuwa makoloni ya Ufaransa hali hii imezidi kufanya mahusiano ya Ufaransa na baadhi ya mataifa ya Afrika kuwa katika mashaka haijulikani siku wala saa yatakwama kwa njia ya mapinduzi.

Je, hiki anacho fanya Russia ni kisasi dhidi ya wale wanao muunga mkono Ukraine hasa Ufaransa?

Wagner-fighters-in-Praskoviyivka-Bakhmut-region_Press-service-of-Prigozhin.jpg
 
Acha Wagner wapige kazi, si mlimsikia Prigo? Alisema anakuja Africa, atusaidie kuitoa na hii serikali ya CCM
Hawa jamaa wanaonekana wana mkono mrefu sana ? Wacha tuone hii movie
 
Naona waliotawaliwa na Mfaransa wamechoka na vita zisizoisha
Mfaransa chokochoko haziishi kwa maslahi yake ila wameanza kumuelewa Wizi wake

Sasa wameamua kuvaa na bendera ya Urusi kuonyesha hawamtaki Mfaransa kabisa kwani ni jizi lililokubuhu hata US na UK wakalale
Screenshot_20230801_111616_Chrome~2.jpg
 
Naona Warusi wa mchongo toka buza mmekimbilia huku kujifariji baada ya kuona mambo magumu frontline kwa baba yenu Putin 😂
.....
Yeye alifikiri alipoichukua Crimea akaachwa basi ataendelea tu kudhulumu ardhi ya watu.
 
Kwa wale wafuasi wa magharibi na baadhi ya wachambuzi wanajaribu kuweka mitazamo yao kuhusu hali aliyonayo Russia pale Ukraine

Wengi wamekuwa wakisema Urusi ana hali ngumu na anajaribu kupoteza kila siku, lakini pia tujiulize je vipi kuhusu hali walizonazo zile nchi zinazo toa support kwa Ukraine?

Hapa tumtazame ufaransa na maslahi yake magharibi mwa Afrika kila uchwao yanazidi kuwekwa rehani na Russia kupitia njia ya mapinduzi yanayo tokea magharibi mwa Afrika.

Influence ya Russia Afrika inazidi kuongezeka kwa kasi Afrika hasa katika yale yaliyokuwa makoloni ya Ufaransa hali hii imezidi kufanya mahusiano ya Ufaransa na baadhi ya mataifa ya Afrika kuwa katika mashaka haijulikani siku wala saa yatakwama kwa njia ya mapinduzi.

Je, hiki anacho fanya Russia ni kisasi dhidi ya wale wanao muunga mkono Ukraine hasa Ufaransa?

View attachment 2704835
Ukraine kupigania uhuru wake ni kosa , ila Nchi za Magharibi kujikwamua kutoka kwa wafaransa ni sw , tujitahidi kubalance mitizamo yetu
 
Naona waliotawaliwa na Mfaransa wamechoka na vita zisizoisha
Mfaransa chokochoko haziishi kwa maslahi yake ila wameanza kumuelewa Wizi wake

Sasa wameamua kuvaa na bendera ya Urusi kuonyesha hawamtaki Mfaransa kabisa kwani ni jizi lililokubuhu hata US na UK wakalale View attachment 2704916
Lin tutaacha kuwasingizia mataifa ya kigeni ? Mnashika bunduki mnauana hlf mnasingizia watengeneza silaha , ndio maana tunaitwa majina ya wanyama sabab tunakili kuwa sisi kichwan ni utumbo mtup
 
Naona Warusi wa mchongo toka buza mmekimbilia huku kujifariji baada ya kuona mambo magumu frontline kwa baba yenu Putin [emoji23]
.....
Yeye alifikiri alipoichukua Crimea akaachwa basi ataendelea tu kudhulumu ardhi ya watu.
Acha kujifariji Sasa kila siku urusi wanachukua maeneo Kule Ukraine na marekan na washirika wake wameshindwa kumzuia
 
Acha kujifariji Sasa kila siku urusi wanachukua maeneo Kule Ukraine na marekan na washirika wake wameshindwa kumzuia
Maeneo aliyochukua Putin yanaendelea kurudishwa.Halafu tujikumbushe lengo la awali la Putin ilikuwa aichukue Kyv baada ya siku 3 na na raisi Zenesky kukimbia nchi.
Matokeo yake:Vifaru vya Urusi vya msafara wa kilometa 64 vilitekwa na kuharibiwa,askari wa Urusi wengi waliuwawa na kutekwa,Raisi Zenensky bado ni raisi wa Ukraine.Ukraine imeanzisha "Counter Offensive" KuRetake maeneo yake.Maeneo yenye ukubwa sawa na Donbas Oblast yamesharudi na kazi inaendelea kuelekea Crimea."Wagner mercenaries wamekimbia Ukraine wakiilaumu Urusi .Huku majengo ndani ya Urusi ,Moscow yakiendelea kushambuliwa kwa drones za Ukraine!
 
Lin tutaacha kuwasingizia mataifa ya kigeni ? Mnashika bunduki mnauana hlf mnasingizia watengeneza silaha , ndio maana tunaitwa majina ya wanyama sabab tunakili kuwa sisi kichwan ni utumbo mtup
Kweli ni utumbo kwa baadhi ya wanaowafadhili na kuwapa ulaji

Mwafrika kama anafanya yake wangekuwa mbali sana
Hapa hakuna anaewasingizia bali ndio fact zenyewe

Sasa kama wao hawawataki sisi nani wa kuwapinga?
Wako huko kwa maslahi yao au wana undugu?

Nilikuwa Iraq wakati inavamia mpaka inavamiwa na nimeshuhudia mengi sana sio ya kuhadithiwa
Wanajeshi wa US walivyokuwa wanapora mali mpaka artifacts za miaka 3000 iliyopita waliiba na nimeziona London na Paris

Hata Africa wengi wanauza utu wao
 
Back
Top Bottom