Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,723
- 7,408
Ilo bomba la gas linatoka nchi ipi? Na kwenda nchi zipi?Hakuna cha Movie hapo, kuna mkono mrefu wa Russia hapo hao ECOWAS watapiga kelele mwisho wa siku watalala. Hakuna bomba la gas kupita Niger
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilo bomba la gas linatoka nchi ipi? Na kwenda nchi zipi?Hakuna cha Movie hapo, kuna mkono mrefu wa Russia hapo hao ECOWAS watapiga kelele mwisho wa siku watalala. Hakuna bomba la gas kupita Niger
Hiyo miji hairudiNaona Warusi wa mchongo toka buza mmekimbilia huku kujifariji baada ya kuona mambo magumu frontline kwa baba yenu Putin [emoji23]
.....
Yeye alifikiri alipoichukua Crimea akaachwa basi ataendelea tu kudhulumu ardhi ya watu.
Mpaka Crimea itarudi! Mwisho wa siku Putin ndiye atakayekufa.Mark my words!Hiyo miji hairudi
Hahaha kama ilivyo rudi bukhmut na mauripaul sioMpaka Crimea itarudi! Mwisho wa siku Putin ndiye atakayekufa.Mark my words!