Je, hiki kilichofanywa na Klabu ya Pyramids ya Misri dhidi ya Klabu ya JKU ya Zanzibar siyo Dharau kwa Wazanzibari na Watanzania kwa Ujumla?

Je, hiki kilichofanywa na Klabu ya Pyramids ya Misri dhidi ya Klabu ya JKU ya Zanzibar siyo Dharau kwa Wazanzibari na Watanzania kwa Ujumla?

Baada ya kuona Klabu ya JKU ya Zanzibar ina Umasikini ( Ukata ) hasa katika Kushiriki Michuano ya Kimataifa Klabu ya Pyramid kutokea nchini Misri imeamua kutumia Umasikini wa JKU ya Zanzibar kwa kuwaomba Wakubali kucheza Mechi zao zote Mbili huko Misri na kwamba wasikubali kuja Kucheza mchezo wao wa Marejeoano Kisiwani Zanzibar.

Klabu ya Pyramid ambayo inatambia Jeuri yake ya Pesa na Utajiri mkubwa iliyonayo haijaishia tu Kuishawishi Klabu ya JKU kufanya watakalo Wao bali wameenda mbele pia na kuamua Kuwatafutia Hoteli ya Kimataifa na ya Kifahari ya Kukaa kwa muda wote watakaokuwa huko nchini Misri, kuwakarimu kwa mambo madogo madogo wakiwa huko na kubwa ni kuwapa 30% ya Mapato ya Mechi zao zote Mbili.

Je, ina maana Serikali ya Zanzibar na pia hata TFF ( Tanzania ) zimekubali hii Dharau na Jeuri ya Klabu ya Pyramids?
Mambo ya Zanzibar hayatuhusu Watanganyika.
 
Vijitimu vya Zanzibar unaviletaje kwenye hili jukwaa?
Mambo madogo madogo ya kuongelea kwenye saluni za kike za vingunguti unayaleta huku?
Bro, tutakeradhi.
Endelea tu kujaa katika 18 sawa?
 
Baada ya kuona Klabu ya JKU ya Zanzibar ina Umasikini ( Ukata ) hasa katika Kushiriki Michuano ya Kimataifa Klabu ya Pyramid kutokea nchini Misri imeamua kutumia Umasikini wa JKU ya Zanzibar kwa kuwaomba Wakubali kucheza Mechi zao zote Mbili huko Misri na kwamba wasikubali kuja Kucheza mchezo wao wa Marejeoano Kisiwani Zanzibar.

Klabu ya Pyramid ambayo inatambia Jeuri yake ya Pesa na Utajiri mkubwa iliyonayo haijaishia tu Kuishawishi Klabu ya JKU kufanya watakalo Wao bali wameenda mbele pia na kuamua Kuwatafutia Hoteli ya Kimataifa na ya Kifahari ya Kukaa kwa muda wote watakaokuwa huko nchini Misri, kuwakarimu kwa mambo madogo madogo wakiwa huko na kubwa ni kuwapa 30% ya Mapato ya Mechi zao zote Mbili.

Je, ina maana Serikali ya Zanzibar na pia hata TFF ( Tanzania ) zimekubali hii Dharau na Jeuri ya Klabu ya Pyramids?
Hapo sasa Wazanzibari ndiyo wanapenda kama ulikuwa hujui. Yaani wanapenda sana vitu vya bure na pamoja na urojo! Kuliko kitu kingine chochote hapa duniani.
 
Hapo sasa Wazanzibari ndiyo wanapenda kama ulikuwa hujui. Yaani wanapenda sana vitu vya bure na pamoja na urojo! Kuliko kitu kingine chochote hapa duniani.
Leo nimeshangaa mno Umechangia huu Uzi wangu bila ya Kunidhihaki na Kunitukana kama ilivyo kawaida yako. au Simu yako Umemuazima Mtu mwenye Nidhamu na Maadili aitumie kwa muda?
 
Baada ya kuona Klabu ya JKU ya Zanzibar ina Umasikini ( Ukata ) hasa katika Kushiriki Michuano ya Kimataifa Klabu ya Pyramid kutokea nchini Misri imeamua kutumia Umasikini wa JKU ya Zanzibar kwa kuwaomba Wakubali kucheza Mechi zao zote Mbili huko Misri na kwamba wasikubali kuja Kucheza mchezo wao wa Marejeoano Kisiwani Zanzibar.

Klabu ya Pyramid ambayo inatambia Jeuri yake ya Pesa na Utajiri mkubwa iliyonayo haijaishia tu Kuishawishi Klabu ya JKU kufanya watakalo Wao bali wameenda mbele pia na kuamua Kuwatafutia Hoteli ya Kimataifa na ya Kifahari ya Kukaa kwa muda wote watakaokuwa huko nchini Misri, kuwakarimu kwa mambo madogo madogo wakiwa huko na kubwa ni kuwapa 30% ya Mapato ya Mechi zao zote Mbili.

Je, ina maana Serikali ya Zanzibar na pia hata TFF ( Tanzania ) zimekubali hii Dharau na Jeuri ya Klabu ya Pyramids?
Chogo
 
Huo ni upangaji wa matokeo tu! Haiwezekani, timu mbili zinazopambana kupata nafasi moja, eti mojawapo iifadhiri nyingine ki hivi!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Yaani tokea niuanzishe huu Uzi ni Wewe pekee ambaye mpaka sasa umeuelewa huu Uzi na umeuchangia kwa Upeo mkubwa mno Kimantiki kuliko Wengineo ambao naona wamechangia Pumba tupu. Heko sana Mkuu.
 
Baada ya kuona Klabu ya JKU ya Zanzibar ina Umasikini ( Ukata ) hasa katika Kushiriki Michuano ya Kimataifa Klabu ya Pyramid kutokea nchini Misri imeamua kutumia Umasikini wa JKU ya Zanzibar kwa kuwaomba Wakubali kucheza Mechi zao zote Mbili huko Misri na kwamba wasikubali kuja Kucheza mchezo wao wa Marejeoano Kisiwani Zanzibar.

Klabu ya Pyramid ambayo inatambia Jeuri yake ya Pesa na Utajiri mkubwa iliyonayo haijaishia tu Kuishawishi Klabu ya JKU kufanya watakalo Wao bali wameenda mbele pia na kuamua Kuwatafutia Hoteli ya Kimataifa na ya Kifahari ya Kukaa kwa muda wote watakaokuwa huko nchini Misri, kuwakarimu kwa mambo madogo madogo wakiwa huko na kubwa ni kuwapa 30% ya Mapato ya Mechi zao zote Mbili.

Je, ina maana Serikali ya Zanzibar na pia hata TFF ( Tanzania ) zimekubali hii Dharau na Jeuri ya Klabu ya Pyramids?
Hizo ni Club rafiki na ni dalili njema kwa siku zijazo
 
Upo sahihi hatupo serious na mpira yaani Timu ya Tanzania inafanyiwa kama zile za Burundi ukiona migogoro ya usajiri wa wachezaji unajua kabisa usimamizi wa chama cha mpira ni hovyo...
 
Baada ya kuona Klabu ya JKU ya Zanzibar ina Umasikini ( Ukata ) hasa katika Kushiriki Michuano ya Kimataifa Klabu ya Pyramid kutokea nchini Misri imeamua kutumia Umasikini wa JKU ya Zanzibar kwa kuwaomba Wakubali kucheza Mechi zao zote Mbili huko Misri na kwamba wasikubali kuja Kucheza mchezo wao wa Marejeoano Kisiwani Zanzibar.

Klabu ya Pyramid ambayo inatambia Jeuri yake ya Pesa na Utajiri mkubwa iliyonayo haijaishia tu Kuishawishi Klabu ya JKU kufanya watakalo Wao bali wameenda mbele pia na kuamua Kuwatafutia Hoteli ya Kimataifa na ya Kifahari ya Kukaa kwa muda wote watakaokuwa huko nchini Misri, kuwakarimu kwa mambo madogo madogo wakiwa huko na kubwa ni kuwapa 30% ya Mapato ya Mechi zao zote Mbili.

Je, ina maana Serikali ya Zanzibar na pia hata TFF ( Tanzania ) zimekubali hii Dharau na Jeuri ya Klabu ya Pyramids?
Usiingize mambo ya Zanzibar kwetu.

Wazanzibar watajuana wenyewe.

Kwanza masheikh wanawaona waarabu ndio mitume.

JKU na UHAMIAJI wameuza mechi zao. Timu njaa ni Kali.

Zanzibar inalazimisha kutambulika FIFA na CAF lakini hakuna seriousness yoyote zaidi ya ujinga tu
 
Kama mnahamu ns pyramid subiri kidogo itakuja chamanzi.

Naona hawajataka kuja zenji ili wasisomwe na azam
Mechi zao zote za ligi ya Egypt ni LIVE.

Hiyo siyo sababu.

Suala lankujua uwezo huwa halisaidii.

Kina Messi, Ronaldo uwezo wao unajulikana na mipango ya kuwakaba ilikuwa inawekwa lakini wanafunga.

Timu kama Pamba Jiji inajua uwezo wa Simba hata iisome unadhani, itaweza kuizuia?
 
Back
Top Bottom