Je, hiki kilichofanywa na Klabu ya Pyramids ya Misri dhidi ya Klabu ya JKU ya Zanzibar siyo Dharau kwa Wazanzibari na Watanzania kwa Ujumla?

Je, hiki kilichofanywa na Klabu ya Pyramids ya Misri dhidi ya Klabu ya JKU ya Zanzibar siyo Dharau kwa Wazanzibari na Watanzania kwa Ujumla?

Baada ya kuona Klabu ya JKU ya Zanzibar ina Umasikini ( Ukata ) hasa katika Kushiriki Michuano ya Kimataifa Klabu ya Pyramid kutokea nchini Misri imeamua kutumia Umasikini wa JKU ya Zanzibar kwa kuwaomba Wakubali kucheza Mechi zao zote Mbili huko Misri na kwamba wasikubali kuja Kucheza mchezo wao wa Marejeoano Kisiwani Zanzibar.

Klabu ya Pyramid ambayo inatambia Jeuri yake ya Pesa na Utajiri mkubwa iliyonayo haijaishia tu Kuishawishi Klabu ya JKU kufanya watakalo Wao bali wameenda mbele pia na kuamua Kuwatafutia Hoteli ya Kimataifa na ya Kifahari ya Kukaa kwa muda wote watakaokuwa huko nchini Misri, kuwakarimu kwa mambo madogo madogo wakiwa huko na kubwa ni kuwapa 30% ya Mapato ya Mechi zao zote Mbili.

Je, ina maana Serikali ya Zanzibar na pia hata TFF ( Tanzania ) zimekubali hii Dharau na Jeuri ya Klabu ya Pyramids?
Wazanzibar wengi wanatamaa sana Hasa viongozi wao rejea zile milion 10 za cecafa zilivyotaka kuwatoa roho
 
Baada ya kuona Klabu ya JKU ya Zanzibar ina Umasikini ( Ukata ) hasa katika Kushiriki Michuano ya Kimataifa Klabu ya Pyramid kutokea nchini Misri imeamua kutumia Umasikini wa JKU ya Zanzibar kwa kuwaomba Wakubali kucheza Mechi zao zote Mbili huko Misri na kwamba wasikubali kuja Kucheza mchezo wao wa Marejeoano Kisiwani Zanzibar.

Klabu ya Pyramid ambayo inatambia Jeuri yake ya Pesa na Utajiri mkubwa iliyonayo haijaishia tu Kuishawishi Klabu ya JKU kufanya watakalo Wao bali wameenda mbele pia na kuamua Kuwatafutia Hoteli ya Kimataifa na ya Kifahari ya Kukaa kwa muda wote watakaokuwa huko nchini Misri, kuwakarimu kwa mambo madogo madogo wakiwa huko na kubwa ni kuwapa 30% ya Mapato ya Mechi zao zote Mbili.

Je, ina maana Serikali ya Zanzibar na pia hata TFF ( Tanzania ) zimekubali hii Dharau na Jeuri ya Klabu ya Pyramids?
TFF inaingiaje kwenye huo upuuzi wa wala urojo!?
 
Baada ya kuona Klabu ya JKU ya Zanzibar ina Umasikini ( Ukata ) hasa katika Kushiriki Michuano ya Kimataifa Klabu ya Pyramid kutokea nchini Misri imeamua kutumia Umasikini wa JKU ya Zanzibar kwa kuwaomba Wakubali kucheza Mechi zao zote Mbili huko Misri na kwamba wasikubali kuja Kucheza mchezo wao wa Marejeoano Kisiwani Zanzibar.

Klabu ya Pyramid ambayo inatambia Jeuri yake ya Pesa na Utajiri mkubwa iliyonayo haijaishia tu Kuishawishi Klabu ya JKU kufanya watakalo Wao bali wameenda mbele pia na kuamua Kuwatafutia Hoteli ya Kimataifa na ya Kifahari ya Kukaa kwa muda wote watakaokuwa huko nchini Misri, kuwakarimu kwa mambo madogo madogo wakiwa huko na kubwa ni kuwapa 30% ya Mapato ya Mechi zao zote Mbili.

Je, ina maana Serikali ya Zanzibar na pia hata TFF ( Tanzania ) zimekubali hii Dharau na Jeuri ya Klabu ya Pyramids?
Zanzibar Wanakosaje pesa ya kupeleka timu?
 
Baada ya kuona Klabu ya JKU ya Zanzibar ina Umasikini ( Ukata ) hasa katika Kushiriki Michuano ya Kimataifa Klabu ya Pyramid kutokea nchini Misri imeamua kutumia Umasikini wa JKU ya Zanzibar kwa kuwaomba Wakubali kucheza Mechi zao zote Mbili huko Misri na kwamba wasikubali kuja Kucheza mchezo wao wa Marejeoano Kisiwani Zanzibar.

Klabu ya Pyramid ambayo inatambia Jeuri yake ya Pesa na Utajiri mkubwa iliyonayo haijaishia tu Kuishawishi Klabu ya JKU kufanya watakalo Wao bali wameenda mbele pia na kuamua Kuwatafutia Hoteli ya Kimataifa na ya Kifahari ya Kukaa kwa muda wote watakaokuwa huko nchini Misri, kuwakarimu kwa mambo madogo madogo wakiwa huko na kubwa ni kuwapa 30% ya Mapato ya Mechi zao zote Mbili.

Soma Pia: Upangaji wa matokeo na rushwa itaangamiza soka Zanzibar Kimataifa

Je, ina maana Serikali ya Zanzibar na pia hata TFF ( Tanzania ) zimekubali hii Dharau na Jeuri ya Klabu ya Pyramids?
Vtalo mpwa hioo
 
Mbona hata Vital O ya burundi mechi zao zote 2 na yanga zinachezwa dar es salaam
Timu za Burundi hutumia uwanja wa Azam complex, msimu uliopita timu ya Egle Noir na Bumamuru zote hizo ni za Burundi zilitumia uwanja wa Azam complex.
Kwa msimu huu uwanja wa Azam utatumika na timu kutoka Somalia, Djibouti na Burundi.
Kuna sababu kuu mbili zinazozifanya timu zihamishe mechi zao kwenda kuchezea mechi nchi nyingine.
1) Kutokuwa na uwanja unaokidhi viwango vya CAF
2) Sababu za kiusalama ( machafuko kutokana na vita)

Kwa upande wa timu za Zanzibar kwakweli inastaajabisha kuona pamoja na kuwa na uwanja unaokidhi viwango na nchi yao kuwa katika amani, wameamua kuchagua maslahi ya kipesa na kidini. Sidhani kama wangepangiwa na timu ambazo sio za kiarabu kama wangefanya kituko hiki.
Maana hadi mechi ya Uhamiaji vs Al Ahli Tripoli itapigwa Libya mechi zote mbili
 
Jamaa nimegundua ana matatizo ya akili nyuzi nyingi yeye kazi yake kuleta shari tu , nimeona nimpuuze ahangaike mwenyewe na ujinga wake.
Umefanya la maana japo umesahau / hujajua kuwa hiyo ni alternative ID ya Mmoja wa Watu waliopigwa BAN majuzi.
 
Baada ya kuona Klabu ya JKU ya Zanzibar ina Umasikini ( Ukata ) hasa katika Kushiriki Michuano ya Kimataifa Klabu ya Pyramid kutokea nchini Misri imeamua kutumia Umasikini wa JKU ya Zanzibar kwa kuwaomba Wakubali kucheza Mechi zao zote Mbili huko Misri na kwamba wasikubali kuja Kucheza mchezo wao wa Marejeoano Kisiwani Zanzibar.

Klabu ya Pyramid ambayo inatambia Jeuri yake ya Pesa na Utajiri mkubwa iliyonayo haijaishia tu Kuishawishi Klabu ya JKU kufanya watakalo Wao bali wameenda mbele pia na kuamua Kuwatafutia Hoteli ya Kimataifa na ya Kifahari ya Kukaa kwa muda wote watakaokuwa huko nchini Misri, kuwakarimu kwa mambo madogo madogo wakiwa huko na kubwa ni kuwapa 30% ya Mapato ya Mechi zao zote Mbili.

Soma Pia: Upangaji wa matokeo na rushwa itaangamiza soka Zanzibar Kimataifa

Je, ina maana Serikali ya Zanzibar na pia hata TFF ( Tanzania ) zimekubali hii Dharau na Jeuri ya Klabu ya Pyramids?
Tafuta hela hakuna huruma kwa Maskini.na umaskini Sio sifa ya kujivunia.
 
Back
Top Bottom