Je, hiki kinachompata Nay wa Mitego ndiyo sababu ya kuwa na Wasanii wengi Tanzania wanaojinasibu kuwa ni CCM?

Je, hiki kinachompata Nay wa Mitego ndiyo sababu ya kuwa na Wasanii wengi Tanzania wanaojinasibu kuwa ni CCM?

Wasanii kibao wameimba nyimbo za kiharakati na kukosoa ila hawajawahi kukamatwa. Mr II, Wagosi wa kaya, Prof Jay na Joh Makini wana nyimbo za kuhoji mambo ya kitaifa lakini hawajawahi kubugudhiwa. Wao hawatumii maneno ya kukera kufikisha ujumbe. Nay wa mitego kwa upumbavu wake hutumia maneno ya hovyo yasiyovumilika ndo maana anasumbuliwa. Wagosi waligusa kila sekta lakini fresh tu walieleweka. Joh Makini baada ya vurugu za Arusha mwaka 2011 alitoa wimbo wa Bye Bye lakini naye hakufanywa kitu. Nay ajifunze kwa waliomtangulia.
Mkuu tujikite kwenye wimbo huu wa 'Nitasema', ni maneno gani ndani ya wimbo huu ambayo ni ya hovyo na yanayokera???

Hebu tuainishie hayo maneno hapa nasi tuyaepuke!! Yanakera kivipi?? Maana hata Basata kwenye hukumu yao hawaja sema yanakera au ni ya hovyo, wamesema wao wameona hayana ushahidi!!

Mkuu wewe hii hukumu yako ya kwamba maneno hayo ni ya hovyo na yanakera umeitoa wapi?? Kwa kanuni na sheria ipi tofauti na ya Basata???
 
Kwani wakimwita hawatowi sababu za kumwita?

. Wacheni majungu.
Mwislamu anayejinasibu kuwa mwislamu safi huku hatetei haki, ni muongo na mnafiki anaaibisa huo uislamu wake na kuufanya uonekane kama dini iliyojaa ghilba tupu.
Hakika watu wa aina yako ni fedheha kuu.
فلن ترى الجنة إلا بالتوبة والعمل الصالح.
 
Mkuu tujikite kwenye wimbo huu wa 'Nitasema', ni maneno gani ndani ya wimbo huu ambayo ni ya hovyo na yanayokera???

Hebu tuainishie hayo maneno hapa nasi tuyaepuke!! Yanakera kivipi?? Maana hata Basata kwenye hukumu yao hawaja sema yanakera au ni ya hovyo, wamesema wao wameona hayana ushahidi!!

Mkuu wewe hii hukumu yako ya kwamba maneno hayo ni ya hovyo na yanakera umeitoa wapi?? Kwa kanuni na sheria ipi tofauti na ya Basata???
Kamuulize mama yako hayo maswali ya kipumbavu
 
Na ukiwa SISIEMU ukaimba wimbo wa kumsema Mbowe na upinzani kwa ujumla hautoitwa na BAR-SIR-TAA hata siku moja.
 
Huenda kinachompata Nay wa Mitego ndio sababu inayowaogopesha wasanii na kuamua kutangaza wao ni CCM kwani ukiwa CCM uko salama dhidi ya mkono hakuna baya litakupata.

Ila tumeoma wasanii waliokataa kuvaa kijani namna wanapelekeshwa na mkono wa dola, leo BASATA wamewaita kesho BASATA wamewafungia, kesho kutwa wameitwa kwa Pilato ili mradi tu kuwatia jambajamba waone kusimama na Wananchi na kuwafumbua macho ni kitanzi.

Je, Wasanii wa Tanzania ni kwa ajili ya kukibeba chama cha kijani kionekane kina wafuasi wengi na si kuiongoza jamii kutambua ukweli wa mambo ili waweze kufanya maamuzi sahihi?

Haya endeleeni kuwapa tuzo hao wanaoimba, chomeka, chomoa ingiza toa, weka mate ziteleze nk huku mkiwabugudhi wanaosema uwajibikaji kwa Taifa ni muhimu nyie si ndio mmeshika kwenye mpini nani atawasumbua na huku kashika kwenye makali bwana.

PIA SOMA
- BASATA waufungia wimbo wa Nay 'Nitasema'
Mti wenye Matunda
 
Huenda kinachompata Nay wa Mitego ndio sababu inayowaogopesha wasanii na kuamua kutangaza wao ni CCM kwani ukiwa CCM uko salama dhidi ya mkono hakuna baya litakupata.

Ila tumeoma wasanii waliokataa kuvaa kijani namna wanapelekeshwa na mkono wa dola, leo BASATA wamewaita kesho BASATA wamewafungia, kesho kutwa wameitwa kwa Pilato ili mradi tu kuwatia jambajamba waone kusimama na Wananchi na kuwafumbua macho ni kitanzi.

Je, Wasanii wa Tanzania ni kwa ajili ya kukibeba chama cha kijani kionekane kina wafuasi wengi na si kuiongoza jamii kutambua ukweli wa mambo ili waweze kufanya maamuzi sahihi?

Haya endeleeni kuwapa tuzo hao wanaoimba, chomeka, chomoa ingiza toa, weka mate ziteleze nk huku mkiwabugudhi wanaosema uwajibikaji kwa Taifa ni muhimu nyie si ndio mmeshika kwenye mpini nani atawasumbua na huku kashika kwenye makali bwana.

PIA SOMA
- BASATA waufungia wimbo wa Nay 'Nitasema'
Kama wewe ni msanii hupendi mambo ya Pdidy utapata tabu sana.
 
Laana ya wale wanaoitumikia CCM ndiyo hiyo wanaishia kupakwa mafuta na Pdidy.
 
Huenda kinachompata Nay wa Mitego ndio sababu inayowaogopesha wasanii na kuamua kutangaza wao ni CCM kwani ukiwa CCM uko salama dhidi ya mkono hakuna baya litakupata.

Ila tumeoma wasanii waliokataa kuvaa kijani namna wanapelekeshwa na mkono wa dola, leo BASATA wamewaita kesho BASATA wamewafungia, kesho kutwa wameitwa kwa Pilato ili mradi tu kuwatia jambajamba waone kusimama na Wananchi na kuwafumbua macho ni kitanzi.

Je, Wasanii wa Tanzania ni kwa ajili ya kukibeba chama cha kijani kionekane kina wafuasi wengi na si kuiongoza jamii kutambua ukweli wa mambo ili waweze kufanya maamuzi sahihi?

Haya endeleeni kuwapa tuzo hao wanaoimba, chomeka, chomoa ingiza toa, weka mate ziteleze nk huku mkiwabugudhi wanaosema uwajibikaji kwa Taifa ni muhimu nyie si ndio mmeshika kwenye mpini nani atawasumbua na huku kashika kwenye makali bwana.

PIA SOMA
- BASATA waufungia wimbo wa Nay 'Nitasema'
Nitashangaa Afisa Utamaduni wa Halmashauri ya Wilaya Manispaa atakayempa Ney kibali cha kutoa burudani ili amtukane Rais
 
Jiulize wewe unapenda kuambiwa ukweli? Unaamini kwenye uhuru wa kutoa maoni? Au unapenda kusikia ukweli unaosemwa kuhusu serikali na ccm tu? Mtu akikosoa upinzani unaweza kuvumilia na kuheshimu uhuru wake wa kutoa maoni?
 
Back
Top Bottom