Je, hili la DC Nassari kuhamishiwa Iramba ni 'Strategical' kutokana na Ujio wa Tundu Lissu atokae huko Singida?

Je, hili la DC Nassari kuhamishiwa Iramba ni 'Strategical' kutokana na Ujio wa Tundu Lissu atokae huko Singida?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mkijifanya mna Akili Kubwa msisahau kuwa tuko Wengine wenye nazo hadi hatujui tumpunguzie nani.

Kwahiyo tulisubiri hadi Mwamba arejee rasmi leo ndipo tuutangaze huu Mkeka kisha tumpelekee Jirani Mtu ambaye walikuwa Marafiki na anayemjua ndani nje?

Siku zingine mtushirikishe na Sisi akina GENTAMYCINE ili tuwasaidie katika kufanya 'Spinning' na kuwa 'Strategical' ili msishtukiwe mapema sawa?
 
Umepuyanga sana,ina maana Nasari anamjua Lissu kuliko watu wa Iramba.

Dunia hii ya technolojia huitaji kuwa karibu kijiografia,ili kumjua mtu.

Lissu hagombei ubunge tena kwao .Lissu anagombea urais

Tena Nassari ndio yuko hatarini kurogwa na kulazwa nje ya nyumba na wana iramba,endapo atathubutu kumgusa Lissu home boy wao

Mwisho Lissu kwao ni Ikungi
 
Umepuyanga sana,ina maana Nasari anamjua Lissu kuliko watu wa Iramba.

Dunia hii ya technolojia huitaji kuwa karibu kijiografia,ili kumjua mtu.

Lissu hagombei ubunge tena kwao .Lissu anagombea urais

Tena Nassari ndio yuko hatarini kurogwa na kulazwa nje ya nyumba na wana iramba,endapo atathubutu kumgusa Lissu home boy wao

Mwisho Lissu kwao ni Ikungi
Nchi iko kimya ilishamsahau,nadhani hata yy anashangaaa.
 
Mkijifanya mna Akili Kubwa msisahau kuwa tuko Wengine wenye nazo hadi hatujui tumpunguzie nani.

Kwahiyo tulisubiri hadi Mwamba arejee rasmi leo ndipo tuutangaze huu Mkeka kisha tumpelekee Jirani Mtu ambaye walikuwa Marafiki na anayemjua ndani nje?

Siku zingine mtushirikishe na Sisi akina GENTAMYCINE ili tuwasaidie katika kufanya 'Spinning' na kuwa 'Strategical' ili msishtukiwe mapema sawa?
Tuliosoma Hungary tumekuelewa.
 
Mkijifanya mna Akili Kubwa msisahau kuwa tuko Wengine wenye nazo hadi hatujui tumpunguzie nani.

Kwahiyo tulisubiri hadi Mwamba arejee rasmi leo ndipo tuutangaze huu Mkeka kisha tumpelekee Jirani Mtu ambaye walikuwa Marafiki na anayemjua ndani nje?

Siku zingine mtushirikishe na Sisi akina GENTAMYCINE ili tuwasaidie katika kufanya 'Spinning' na kuwa 'Strategical' ili msishtukiwe mapema sawa?

Lissu kwao Ikungi, Iramba kwao mwigulu na kitila uhusiano uko wapi hapo,
 
Mkijifanya mna Akili Kubwa msisahau kuwa tuko Wengine wenye nazo hadi hatujui tumpunguzie nani.

Kwahiyo tulisubiri hadi Mwamba arejee rasmi leo ndipo tuutangaze huu Mkeka kisha tumpelekee Jirani Mtu ambaye walikuwa Marafiki na anayemjua ndani nje?

Siku zingine mtushirikishe na Sisi akina GENTAMYCINE ili tuwasaidie katika kufanya 'Spinning' na kuwa 'Strategical' ili msishtukiwe mapema sawa?
Tulia uandike Thread yako vizuri. Siyo kila kitu unachofikiria kichwani mwako uandike. Unaweza ukawehuka.
 
Joshua Nassari ni ndezi tu yule. Kwangu Mimi naamini akidhani kwamba Bado Kuna Magufuli Tanzania, huu ndio mwanzo wa mwisho wa UDC kwake.

Nimekaa paleeeee!
 
Lissu alikuwa ni mbunge wa Singida Mashariki, Iramba ni kwa bwana Madelu...

Anyway, ila CCM wakitaka kufanya fitna hawashindwi...
 
Umepuyanga sana,ina maana Nasari anamjua Lissu kuliko watu wa Iramba.

Dunia hii ya technolojia huitaji kuwa karibu kijiografia,ili kumjua mtu.

Lissu hagombei ubunge tena kwao .Lissu anagombea urais

Tena Nassari ndio yuko hatarini kurogwa na kulazwa nje ya nyumba na wana iramba,endapo atathubutu kumgusa Lissu home boy wao

Mwisho Lissu kwao ni Ikungi
Umeniwahi mkuu. Ikungi na Iramba wapi na wapi? Jamaa anafanya masterbation hadharani..YANI anaongea madudu hayaeleweki.
 
Mkijifanya mna Akili Kubwa msisahau kuwa tuko Wengine wenye nazo hadi hatujui tumpunguzie nani.

Kwahiyo tulisubiri hadi Mwamba arejee rasmi leo ndipo tuutangaze huu Mkeka kisha tumpelekee Jirani Mtu ambaye walikuwa Marafiki na anayemjua ndani nje?

Siku zingine mtushirikishe na Sisi akina GENTAMYCINE ili tuwasaidie katika kufanya 'Spinning' na kuwa 'Strategical' ili msishtukiwe mapema sawa?
super f..l
 
Back
Top Bottom