Je, hili limekukuta kuachwa na bus kisha ukatumia bodaboda kulifukuza bus

Nasikia dawa yao ni LATRA tu
 
alishazipigia hesabu hizo siti hapo moro angebeba abiria wake
 
Niliachwa na gari msamvu , nyehunge ya kuelekea mwanza .
Nilipatwa na msiba wa mke nikapewa ruhusa ya kupumzika nikaamua kurudi nililozaliwa kupumzika .Stress zilinifanya niamke saa 6 siku inayofuata badala ya saa 11 .Tokea hapo hua sikati tiketi tena hata iweje yaani
 
pole sana mkuu
 
asante.
ila safari nyengine kama itatokea hivi sisumbuki kuwakimbiza ni kuipigia mamlaka alafu watanyooka
Kuwakimbiza na ile speed hapana aiseee ni bora usubiri kesho au upande gari lingine maana wanakuwaga na muda wa kutoka tofauti tofauti kwa hiyo hiyo kampuni
 
Mm walishawahi niingiza choo cha kike,tena mwanamke basi sitaki kuwasikia had leo
 
Hii hatua unaweza kumsusia chenji[emoji16]
 
[emoji23][emoji1787][emoji28][emoji38][emoji16][emoji1][emoji2][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…