Me ndo nshabeba fomu ya usahili, kura yako ya 'Ndio' ni muhimu mpendwa..πMweeh hivi kumbe nimetangaza fursa? ??[emoji15] [emoji15] [emoji15]
KadadaWanaume wengi huoa wanawake wanaofanana taswira na dada zao
rangi yake ndio naona mapungufu ninayohsiYaani unahisi kapungukiwa kwasababu kitabia anafanana na mama?
Khaaa bi mkubwa, loya ana jimbo lake kitamboooMtani changamkia fursa.
Umejiandaa kukatwa lakini kura zisipojitoshelezaMe ndo nshabeba fomu ya usahili, kura yako ya 'Ndio' ni muhimu mpendwa..π
Wee hairuhusiwi hiyoHakuna tatizo anakuwa na majimbo mengi.
Kama we ni malaika sawa nakubali hayupo endelea kazini mkuu!!Sidhani kama kuna mwanamke dunia hii mwenye sifa za kuweza kuvishwa pete na mimi, labda itokee nimemuumba mwenyewe.
Ameshaamika, anascrub kwa chumvi na ukwajuUnakosa bahati ujue
Kui yuko wapi? Au ndio hangover?
Nalifaham hilo, ila Chonde chondeπKhaaa bi mkubwa, loya ana jimbo lake kitambooo
Umejiandaa kukatwa lakini kura zisipojitosheleza
Hahaa nilikuwa tu nakupa taarifaNalifaham hilo, ila Chonde chondeπ
Baridi yabisi ilishanikamata ghafla.. Nikajua ndo basi tena nshakatwaπHahaa nilikuwa tu nakupa taarifa