Je hili ni kweli?

Nikikumbuka kile ulichokisema kwenye ule uzi wa akina baba ninakuelewa kabisa na kamwe huwezi kutamani.

me huwa nasema, kama kweli walifanyaga utafiti wakagundua kuwa asilimia kubwa ya wasichana hupenda wanaume kama baba yao, basi me nina fall kwenye hiyo asilimia iliyobaki.

labda sifa nayopenda ambayo baba anayo ni weupe tu. 😀
 
Na mada yangu ililenga wale baba kweli sio sperm donners!!

 
This is a point maana Kuna wengine hawataki kuolewa na watu ka baba yake
 
Mimi napendana sana na binti wangu.
Lakini anasemaga hapendi mwanaume mlevi kama mimi baba yake. Na cha ajabu anatamani kua na mwanaume mwenye upendo wa dhathi kama mimi baba yake.
Sasa.......
Misijui hapa inakuaje
 
Mi ningependa kuolewa na mwanaume mwenye tabia za daddy angu kuanzia upole, tabia hekima akili hata physical appearance urefu yani everything
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimejikuta nacheka sana
 
Dada shemeji.....nmekumiss mnoo....!
Ulikuwa wapi
 
Si kwa kupotea huku, itabidi unilipe fidia kwa kukumiss...lol

Nimependa hii, lakini naona wengine tunapenda wenza waliofanana na baba baadhi ya vitu si vyote. Mfano wangu ni kichwa na height.
Hahahaaaa! Hebu ngoja nifikirie ninachokipenda Mimi.
 
Reactions: kui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…