X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
KUMBE TUPO WENGI WENYE MAWAZO HAYO...Sidhani kama kuna mwanamke dunia hii mwenye sifa za kuweza kuvishwa pete na mimi, labda itokee nimemuumba mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KUMBE TUPO WENGI WENYE MAWAZO HAYO...Sidhani kama kuna mwanamke dunia hii mwenye sifa za kuweza kuvishwa pete na mimi, labda itokee nimemuumba mwenyewe.
Hahahahaha, eti walikubadilishia, kwanini unasema ivo.😀 😀
mama yangu aliwahi kuniambia "sijui walinibadilishia mtoto!" thank hades im nothing like my mom.
Hata hivyo huna sifa za kumvisha mwanamke PeteSidhani kama kuna mwanamke dunia hii mwenye sifa za kuweza kuvishwa pete na mimi, labda itokee nimemuumba mwenyewe.
me huwa nasema, kama kweli walifanyaga utafiti wakagundua kuwa asilimia kubwa ya wasichana hupenda wanaume kama baba yao, basi me nina fall kwenye hiyo asilimia iliyobaki.
labda sifa nayopenda ambayo baba anayo ni weupe tu. 😀
Inategemeana kwa kweli, kuna wababa wanaitwa baba kwasababu tu walituzaa watoto.Kwa wamama vilevile.
Baba huyu au mama huyu unakuta anatabia ambazo hutamani hata mtoto wako kuzirithi.
Ambacho hua natamani, ni walau mwanangu(wa kike) awe na tabia kama zangu hata robo tu.
This is a point maana Kuna wengine hawataki kuolewa na watu ka baba yakeMama yangu ndio the best woman duniani lakini sijawahi kufikiria kuoa mwanamke anayefanana naye.
Ndoto yangu ilikuwa kuoa mke na kwahiyo lazima awe a unique being.
Kuna hatari kubwa ya kumlinganisha mke wako na mama yako. Hawa ni watu wawili tofauti na kila mmoja ana umuhimu wake kulingana na roles zake kwako. Kumbuka mama yako sio Saint au malaika. Mama anaoneka mzuri kwako kwasababu image anayoiproject kwa mtoto wake ni maalumu na tofauti kabisa na ile anayoionyesha kwa mume na watu wengine. Mama anaonyesha her best side kwa mtoto wake na kwa watu wengine wanapata na ile poisonous part. Siajabu mama yako has been a terrible wife kwa baba yako lakini anavumilia na kumfichia aibu.
Taja sifa za mshua wako nichukue jiko mieKabisa ningetamani kuwa na mume at least kama baba yangu, watoto wangu watakuwa wamepata the best father in the world
omg!! nimefanza nini tena mamii!!
Wababa tumekua mifano poa sana kwa mabinti zetu[emoji39] [emoji39]Kabisa ningetamani kuwa na mume at least kama baba yangu, watoto wangu watakuwa wamepata the best father in the world
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mi ningependa kuolewa na mwanaume mwenye tabia za daddy angu kuanzia upole, tabia hekima akili hata physical appearance urefu yani everything
Dada shemeji.....nmekumiss mnoo....!Habari zenu wana JF?
Kuna usemi kuwa "wanawake hupenda kuolewa na baba zao" na "wanaume hupenda kuoa mama zao"
Dont get it wrong, ila ni kuwa binti huwa karibu sana na baba yake hivyo kupelekea kupenda kuwa na mume kama baba yake, halikadhalika kijana kuwa karibu na mama yake hupelekea atamani kuwa na mke kama mama yake (kwa sifa).
Sasa wapendwa wana JF naomba niwaulize, je kwa wanaume wewe ungetamani mke mwenye sifa za mama yako na kwa wanawake wenzangu, je ungetamani mume mwenye sifa kama za baba yako?
Niwatakie jioni njema.
Enhe..... Best faza anakuwa na sifa zipi??? Nikumbushe...Dada mtumishiKabisa ningetamani kuwa na mume at least kama baba yangu, watoto wangu watakuwa wamepata the best father in the world
Hahahaaaa! Hebu ngoja nifikirie ninachokipenda Mimi.Si kwa kupotea huku, itabidi unilipe fidia kwa kukumiss...lol
Nimependa hii, lakini naona wengine tunapenda wenza waliofanana na baba baadhi ya vitu si vyote. Mfano wangu ni kichwa na height.