Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
In her dreams lolTWICE???
Heaven Sent were you aware of zis?
sasa hao watoto wana usalama kweli au ustawi tutinge hapo, si kwa mama huyu
me nakula magimbi kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
In her dreams lolTWICE???
Heaven Sent were you aware of zis?
sasa hao watoto wana usalama kweli au ustawi tutinge hapo, si kwa mama huyu
me nakula magimbi kwanza
Kwa kweli hata me ndotoni nakutamania kweli hahhahaHahaaaa!! The best mother ever existed. Karibu uwaone hakika utakubaliana nami. Heaven Sent mwenyewe hadi anatamani
Sio bure, kuna namna.Sidhani kama kuna mwanamke dunia hii mwenye sifa za kuweza kuvishwa pete na mimi, labda itokee nimemuumba mwenyewe.
Hahaha haya tuassume basi unao kweli tehHebu acha wivu bwana!
Khaaaah!!
Forgive him father, for he no not what says[emoji120]Most definitely.
Ingawa huko kwa mungu mi wala si mdau lakini nikiangalia hao unaowaita products za mungu nabaki kujiuliza tu....'is that the best he could do?'
Wapo tumboni?We shindwa! Unaassume vp wakati wapo?
Habari zenu wana JF?
Kuna usemi kuwa "wanawake hupenda kuolewa na baba zao" na "wanaume hupenda kuoa mama zao"
Dont get it wrong, ila ni kuwa binti huwa karibu sana na baba yake hivyo kupelekea kupenda kuwa na mume kama baba yake, halikadhalika kijana kuwa karibu na mama yake hupelekea atamani kuwa na mke kama mama yake (kwa sifa).
Sasa wapendwa wana JF naomba niwaulize, je kwa wanaume wewe ungetamani mke mwenye sifa za mama yako na kwa wanawake wenzangu, je ungetamani mume mwenye sifa kama za baba yako?
Niwatakie jioni njema.
Good.Swali zuri sana hili mpendwa. Katika maisha hakuna binadamu aliyekamilika. Kila binadamu ana mapungufu yake; Hivyo hata mama yangu naye ana mapungufu yake.
Ni kweli kuna tabia ambazo ningetamani sana mwanamke ambaye atakuja kuwa mke wangu awe nazo ila si zote kwa sababu kuna tabia pia ambazo mama yangu anazo ambazo sizipendi na ambazo nisingependa mke wangu aje kuwa nazo.
Una bahati baba yako sio fataki.Kabisa ningetamani kuwa na mume at least kama baba yangu, watoto wangu watakuwa wamepata the best father in the world
Atoto hujaamboo?Good.
Sijambo KARANJA 007Atoto hujaamboo?
Basi tumuombe Mungu amuepushe kama nae ni MASHINE YA BARA,halafu ujue nimekumiss sana we mtoto.Hahaaa! Una hakika?
Basi ngoja nijipange nikurushie bata wa kutosha.Mmmh sio kweli, lazima muamala ungekuwa unasoma tayari.