Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji134] [emoji134] [emoji134]Bora ningeiona usingizini niliiona leba
He hee ntampa atoto akuleteeMmh naomba na mimi niorodheshe
Upo ukweli kiasi fulani hapaHabari zenu wana JF?
Kuna usemi kuwa "wanawake hupenda kuolewa na baba zao" na "wanaume hupenda kuoa mama zao"
Dont get it wrong, ila ni kuwa binti huwa karibu sana na baba yake hivyo kupelekea kupenda kuwa na mume kama baba yake, halikadhalika kijana kuwa karibu na mama yake hupelekea atamani kuwa na mke kama mama yake (kwa sifa).
Sasa wapendwa wana JF naomba niwaulize, je kwa wanaume wewe ungetamani mke mwenye sifa za mama yako na kwa wanawake wenzangu, je ungetamani mume mwenye sifa kama za baba yako?
Niwatakie jioni njema.
kwi kwi kwi kataendelea siku nyingine...an angima maber,wach ma kono nyako?Hako kastory nimetamani kangeendelea[emoji12], yawa ingima?
umeonaga wapi jogoo likilea vifaranga[emoji780]Not their fathers?
Na wewe utakuwa ushapata homa ya Ngabu..Ni hapo waumbe halafu watoe vituko kuliko sisi. Binadamu sio, alien sio, mdudu sio...teh!
Cc to a handsome boy Nyani Ngabu
Na wewe utakuwa ushapata homa ya Ngabu..
Na wewe utakuwa ushapata homa ya Ngabu..
Hiyo homa haitibiki itabidi uwe unamfatafata nyuma kama msukule wake kila siku..Hahaaahaaa!,...nina maradhi bin magonjwa dear...lol
Boss kubwa unawajua bana.. Mwingine ni Nifah, Geahabibu na Dina.. Ila hawa wawili wa mwisho wote wapo Mwanza..Nani mwingine ana homa ya Ngabu?😀
Hiyo homa haitibiki itabidi uwe unamfatafata nyuma kama msukule wake kila siku..
Kui girl say something... [emoji1] [emoji1] [emoji1]😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀