Je, hili tatizo ninalo peke yangu?

Je, hili tatizo ninalo peke yangu?

falcon Q

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2023
Posts
972
Reaction score
2,569
Habari wadai I hope jtatu iko jema kwenu Nina tatizo ambalo nikiri sijawahi kulisikia kwa mtu yeyote nimeamua kuliweka hapa kama yupo mwenye tatizo kama langu au mwenye ufahamu a share experience yake.

Iko hivi huwa napatwa na shambulio la moyo pindi nking'atwa na nyuki au nyigu (bee & wasps sting) , hili limenianza miaka mingi nyumba mbaka hivi sasa nna 33+ mwanzo nlikua naiona nkishambuliwa na nyuki pekee Ila kwa nyigu haikua inanisumbua huwa napata uvimbe kama waadhirika wengine lakini ajabu in my thirty's shambulio la nyigu halina tofauti na nyuki kwangu

Halina nayokutana nayo ni worse than you can think nkishambuliwa na hawa wadudu huwa haipiti dakika tatu hali yangu hubadilika kwanza huwa nakumbwa na kizunguzungu then napoteza fahamu kwa dakika kadhaa nkizinduka mapigo ya moyo huwa yako juu sana, hua napumua kwa shida na joto la mwili huwa juu sana means huwa natokwa na jasho jingi sana. Pia huwa natapika kiufupi huwa na hali mbaya sana sana than you can think lakini cha ajabu hii hali haidumu kwa mda mrefu ni fujo ya dakika 45 mpaka saa moja then hali hurudi kawaida napabaki na maumivu ya kawaida tu ya kuumwa na mdudu .

Nlijaribu kulifuatilia nkaambiwa ni rare cases mojawapo inaitwa "brugada sydrome" ila sikupima coz hainikuti Mara kwa Mara ni mpaka naposhambuliwa na hawa wadudu tu. Mwenye experience na hili tafadhali naomba u share nijue naanzie wapi maana kadri umri unavyozidi nahisi mwili unaweza kuja kushindwa kuhimili hii hali aksanteni.

Nawasilisha
 
Mkuu sina ushauri zaidi ya kukuambia epuka nyuki zita kuua, nyuki pia zina sumu yake huenda iandani na damu yako, inapo fika kwenye blood vessels za mwoyo mwoyo una angaika kutoa hiyo sumu tafuta ufungaji mgine, au njoo hapa dar tupambana na kazi zingine.
 
Hao nyuki na nyigu hukung'ata kila siku au uling'atwa marhapana bo

Mkuu sina ushauri zaidi ya kukwambia epuka nyuki zitakuua, nyuki pia zina sumu yake huenda iandani na damu yako, inapo fika kwenye blood vessels za mwoyo mwayo unaangaika kutoa hiyo sumu tafuta ufungaji mgine, au njoo hapa dar tupambana na kazi zingine.
Aksante boss
 
Nyuki ana sumu kali na anaweza kukuua,kaa nao mbali
 
Pole sana mkuu, Hiyo itakuwa ni allergic reaction to venoms, mfano wake ni kama pumu kwa wagonjwa wa pumu.

Tusubiri watu wenye experience watupe muongozo.
 
Habari wadai I hope jtatu iko jema kwenu Nina tatizo ambalo nikiri sijawahi kulisikia kwa mtu yeyote nimeamua kuliweka hapa kama yupo mwenye tatizo kama langu au mwenye ufahamu a share experience yake.
Allergy.
 
Tatizo hilo linaweza kuomekana kawaida kulingana na idadi ya nyuki wanao kushambulia.

Ila kama ni bite ya nyuki mmoja au wawili basi hapo kweli una tatizo.

Na je hutegemaana na eneo ambalo nyuki ameshambulia au sehemu yeyote hata mguuni bado madhara yake yatakuwa ni hayo hayo kama ulivyoeleza?
 
Tatizo hilo linaweza kuomekana kawaida kulingana na idadi ya nyuki wanao kushambulia.

Ila kama ni bite ya nyuki mmoja au wawili basi hapo kweli una tatizo.

Na je hutegemaana na eneo ambalo nyuki ameshambulia au sehemu yeyote hata mguuni bado madhara yake yatakuwa ni hayo hayo kama ulivyoeleza?
Ni kwa nyuki moja tu mkuu coz sijawhi kushambuliwa na nyuki zaidi ya moja na ni sehemu yeyote ile ya mwili
 
Wewe kwann unakaa mazingira ambayo nyuki wanaishi mimi ni mwaka wa kumi sasa Nyuki hata nimesahau wanamuonekano gani.

Nadhani ungejiweka mbali na nyuki hayo yasingekukuta.
 
Habari wadai I hope jtatu iko jema kwenu Nina tatizo ambalo nikiri sijawahi kulisikia kwa mtu yeyote nimeamua kuliweka hapa kama yupo mwenye tatizo kama langu au mwenye ufahamu a share experience yake.

Iko hivi huwa napatwa na shambulio la moyo pindi nking'atwa na nyuki au nyigu (bee & wasps sting) , hili limenianza miaka mingi nyumba mbaka hivi sasa nna 33+ mwanzo nlikua naiona nkishambuliwa na nyuki pekee Ila kwa nyigu haikua inanisumbua huwa napata uvimbe kama waadhirika wengine lakini ajabu in my thirty's shambulio la nyigu halina tofauti na nyuki kwangu

Halina nayokutana nayo ni worse than you can think nkishambuliwa na hawa wadudu huwa haipiti dakika tatu hali yangu hubadilika kwanza huwa nakumbwa na kizunguzungu then napoteza fahamu kwa dakika kadhaa nkizinduka mapigo ya moyo huwa yako juu sana, hua napumua kwa shida na joto la mwili huwa juu sana means huwa natokwa na jasho jingi sana. Pia huwa natapika kiufupi huwa na hali mbaya sana sana than you can think lakini cha ajabu hii hali haidumu kwa mda mrefu ni fujo ya dakika 45 mpaka saa moja then hali hurudi kawaida napabaki na maumivu ya kawaida tu ya kuumwa na mdudu .

Nlijaribu kulifuatilia nkaambiwa ni rare cases mojawapo inaitwa "brugada sydrome" ila sikupima coz hainikuti Mara kwa Mara ni mpaka naposhambuliwa na hawa wadudu tu. Mwenye experience na hili tafadhali naomba u share nijue naanzie wapi maana kadri umri unavyozidi nahisi mwili unaweza kuja kushindwa kuhimili hii hali aksanteni.

Nawasilisha
Tangu nizaliwe nimeumwa na nyuki si zaidi ya mara saba. Wewe uko wapi huko penye nyuki lukuki hadi udonolewe daily?

Kuna ndugu yangu yupo tabora vijijini lakini hang'atwi nyuki. AU UNAISHI NA NYUKI WA UTAJIRI NDANI?
 
Unanishangaza una tatizo la mda mrefu na hujaenda kutafuta tiba za kidaktari. .
 
Back
Top Bottom