Je, hili tatizo ninalo peke yangu?

Je, hili tatizo ninalo peke yangu?

Wewe kwann unakaa mazingira ambayo nyuki wanaishi mimi ni mwaka wa kumi sasa Nyuki hata nimesahau wanamuonekano gani.

Nadhani ungejiweka mbali na nyuki hayo yasingekukuta.

Wewe kwann unakaa mazingira ambayo nyuki wanaishi mimi ni mwaka wa kumi sasa Nyuki hata nimesahau wanamuonekano gani.

Nad

Tangu nizaliwe nimeumwa na nyuki si zaidi ya mara saba. Wewe uko wapi huko penye nyuki lukuki hadi udonolewe daily?

Kuna ndugu yangu yupo tabora vijijini lakini hang'atwi nyuki. AU UNAISHI NA NYUKI WA UTAJIRI NDANI?
Hahaha duh boss nko mjini hapa hapa kudungwa nami ni Mara chache sana hii niandika nlidungwa na nyigu last week kwa nyuki ofcourse na miaka miwili sijakumbana nao
 
Unanishangaza una tatizo la mda mrefu na hujaenda kutafuta tiba za kidaktari. .
Ni rare sana kukutana na hali hii anyway thanks lengo ilikua kupata experience ya wengine kama wapo
 
Ni rare sana kukutana na hali hii anyway thanks lengo ilikua kupata experience ya wengine kama wapo
Ndio leo lako sio baya ila sasa siku unawez umwa hata na demu ukazima tukakukumbuka hapa jukwaani Nenda kacheki. .
 
Pole sana, japo mnauliza mleta mada kama kila siku anakutuna na nyuki kauliza hilo tatizo kuna mtu aking'atwa na nyuki linampata
 
Mkuu sina ushauri zaidi ya kukuambia epuka nyuki zita kuua, nyuki pia zina sumu yake huenda iandani na damu yako, inapo fika kwenye blood vessels za mwoyo mwoyo una angaika kutoa hiyo sumu tafuta ufungaji mgine, au njoo hapa dar tupambana na kazi zingine.
Kuna allergy ya nyuki. Nyuki wanauwezo wa kusababisha shinikizo la damu.
 
Pole sana, japo mnauliza mleta mada kama kila siku anakutuna na nyuki kauliza hilo tatizo kuna mtu aking'atwa na nyuki linampata
Aksante kwa kuliweka sawa kidogo ubarikiwe
 
Habari wadai I hope jtatu iko jema kwenu Nina tatizo ambalo nikiri sijawahi kulisikia kwa mtu yeyote nimeamua kuliweka hapa kama yupo mwenye tatizo kama langu au mwenye ufahamu a share experience yake...
Mkuu huwa unaenda/kupelekwa hospitali baada ya shambulio?

Kinachotokea kwako kinaitwa "Anaphylactic shock" ni hatari sana lakini nadra.

Tiba yake ni sindano ya Epinephrine, haraka iwezekananvyo.
 
Mkuu huwa unaenda/kupelekwa hospitali baada ya shambulio?

Kinachotokea kwako kinaitwa "Anaphylactic shock" ni hatari sana lakini nadra.

Tiba yake ni sindano ya Epinephrine, haraka iwezekananvyo.
This is mind opening nlishawafi kwenda Mara moja nkaambiwa na typhoid. Ila kiukweli hua nakua na hali mbaya sana sana kifo nakiona hiki hapa but ni mda mchache nakaa saw a kabisa. Thanx for this ntalifatilia
 
Hyo ni allergic reaction, mimi ishawahi nitokea nilingatwa na nyigu kichwan wakat naoga,mapigo ya moyo yalienda kasi sana,nikavimba uso mzima,ila sikupoteza fahamu ,nahisi nyigu nao wana sumu mbaya pia,sio wew tu mkuu
 
Hyo ni allergic reaction, mimi ishawahi nitokea nilingatwa na nyigu kichwan wakat naoga,mapigo ya moyo yalienda kasi sana,nikavimba uso mzima,ila sikupoteza fahamu ,nahisi nyigu nao wana sumu mbaya pia,sio wew tu mkuu
Pole sana mkuu kwangu nadhani hua mbaya zaidi ukiwa karibu nami kama unaroho nyepesi unaangua kilio unajua huyu ndo basi haponi
 
This is mind opening nlishawafi kwenda Mara moja nkaambiwa na typhoid. Ila kiukweli hua nakua na hali mbaya sana sana kifo nakiona hiki hapa but ni mda mchache nakaa saw a kabisa. Thanx for this ntalifatilia
Dah mkuu, typhoid? Ndo maana tunalaumiwa sana.
Pole mkuu.

Hiyo ni Anaphylactic shock mkuu, usiichukulie pouwa kabisa. Tiba yake inabidi itolewe ndani ya mda mfupi sana.

Pole sana mkuu.
 
Back
Top Bottom