Mambo vipi wana jf habari zenu mko poa nyote, natumaini hamjambo? Sasa twende kwenye jambo langu?
Nipo nimewaza sehemu nilipo mkoani hapa nimewaza biashara ambayo nimeona kwa hapa kama itanifaa hivi.
Nichukue kama kiduka hivi kidogo, harafu humo ndani niweke vinywaji kama pombe aina ya ambiance/ 5gin zinapatikana kwa wingi huku na vinaenda sana, niweke maziwa mgando/fresh, juisi, maji ya kunywa madogo na makubwa, pamoja na sigara,
Ila pombe niweke za tofauti tofauti kama konyagi, kvant, value, nk. Vipi wazo langu hapo maana sina mtaji nami najitafuta tu ila hii mtu yoyote anaweza weka inaenda sana.
Nimewakilisha kwenu
Nipo nimewaza sehemu nilipo mkoani hapa nimewaza biashara ambayo nimeona kwa hapa kama itanifaa hivi.
Nichukue kama kiduka hivi kidogo, harafu humo ndani niweke vinywaji kama pombe aina ya ambiance/ 5gin zinapatikana kwa wingi huku na vinaenda sana, niweke maziwa mgando/fresh, juisi, maji ya kunywa madogo na makubwa, pamoja na sigara,
Ila pombe niweke za tofauti tofauti kama konyagi, kvant, value, nk. Vipi wazo langu hapo maana sina mtaji nami najitafuta tu ila hii mtu yoyote anaweza weka inaenda sana.
Nimewakilisha kwenu