Je, hizi goli Tano Tano za Yanga ✋ Zina reflect vipi ligi yetu?

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Baada ya kuona dozi nzito zinatolewa na wananchi ...de Yanga Kwa timu pinzani nimeona nifanye research kidogo Kwa kuwashirikisha ndugu zangu humu
Tujikumbushe...hizi ndizo baadhi ya timu zilizochezea ✋ Kwa Yanga
Simba
Kmc
Ihefu

Je unadhani hivi vichapo vinaashiria Nini kwenye ligi yetu??
Hizi ni hypothesis
1) Timu zote TZ Zina uwezo mdogo Kwa Yanga
2) ligi imekuwa....ila Yanga imekuwa zaidi
3) baadhi y timu TZ hazina quality players
4.) 1 2 3 4 Yote sawa
 

Attachments

  • 1710179737162.jpg
    88.1 KB · Views: 3
Tofautisha Timu ya Yanga na Ligi Yetu

Ligi yetu ni kubwa ya tano kwa Afrika; halafu Timu ya Yanga ni Next Level. Kumbuka kuwa ukipambana na Yanga unakuwa unapambana na vitu viwili kwa mpigo: Timu ya Yanga yenyewe na Pacome. Ukiishinda Yanga utakumbana na Pacome ambaye atakupiga, na ukimshinda Pacome basi Yanga inakupiga. Huna pa kutokea!
 
huna lolote Eti Next level pacome si takataka tu huyo hadi kwenye timu yake ya Taifa hatambuliki
 
huna lolote Eti Next level pacome si takataka tu huyo hadi kwenye timu yake ya Taifa hatambuliki
Kuna Yanga na kuna Pacome. Subiri zamu yako ifike upewe dozi kamili ya 5G na 3G kwa pamoja kwa vile inaonakana 5G pekee haijakuponyesha maradhi yako.
 
Umenena fact mkuu
 
Kuna Yanga na kuna Pacome. Subiri zamu yako ifike upewe dozi kamili ya 5G na 3G kwa pamoja kwa vile inaonakana 5G pekee haijakuponyesha maradhi yako.
Makolo wamemsahu[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…