Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magoli yote sio offsideKwa mayele alikuwa on side Ila ya pili ni clear off side
Ova
Mpenda haki kwa hiyo lile bao letu moja ni la kuotea kweli?!!!Gongowazi vipi tena ? Maji yameanza kuzidi unga ? Ndio kwanza game mbili zimechezwa, mnaanza kumtafuta mchawi🤣
Wakati mwengine mtumie akili mueke ushabiki pembeni! La pi ni offside la kwanza ndio sioMagoli yote sio offside
Acha dharau dogo[emoji34]Wakati mwengine mtumie akili mueke ushabiki pembeni! La pi ni offside la kwanza ndio sio
Kuwa na adabu na utumie akiliAcha dharau dogo[emoji34]
Unataka mpaka ushuhudie nikitoka chumbani kwa bimkubwa wako nikiwa nimejifunga taulo ndy utaniheshimu?? Mimi mzee wako shika adabu yakoKuwa na adabu na utumie akili
Geita wenyewe wanasema bado hawajapata muunganiko....msianze kutafuta mchawi, bado mapema sanaMpenda haki kwa hiyo lile bao letu moja ni la kuotea kweli?!!!
Yote sio offside mkuu, unalosema wewe kuwa ni offside embu angalia wakati pasi inapigwa kupewa tena makambo, kuna beki yupo upande wa pili ambaye alikuwa mbele ya Yusuph Athuman. Huyu beki ukimtazama eneo alilokuwepo ameiua offside position ya makambo kwavile yeye ndiye yuko mbele zaidi ya washambuliaji wa YangaWakati mwengine mtumie akili mueke ushabiki pembeni! La pi ni offside la kwanza ndio sio