Je, homa ya ini inatibika kwa mitishamba?

Je, homa ya ini inatibika kwa mitishamba?

Watu hapa tunatumia scientific evidence na research au ushuhuda. Mambo ya kwa jina la Yesu peleka kwenye majini uko. Mnakuwa wapumbavu mnanisha kitu bila hoja wala uzoefu wowote kisa imani zenu...
Nnachokiona kwako ni madaraja na imani wapo wanaoamini kila tatzo linatibika hosptal yaan wapo kisayansi tu wapo wanaokwenda hosptal kupima wajue tatzo nini alafu watajua dawa gani watumie na wanapona bila shaka yoyote enzi hzo watu walkuwa wanatibiwa na miti shamba bila sjui utafiti wala maandishi yoyote yale sema utandawazi umekuwa mwingi kitaa mfano hyo dawa ya chafya ulosema kiwango chake huwezi tumia sjui kijko ile inashkwa tu na vidole viwili kias basi na haya mambo ya utandawazi yamewafanya wengi kuumia kwa muda mrefu kisa tu hosptal wamesema ugonjwa huu hauna dawa ,au wanywe dawa fulan maisha yao yote yalobaki bila kujua wanajaza sumu mwilini kumbe wangetumia miti shamba wangepona na maisha yakasonga

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Nnachokiona kwako ni madaraja na imani wapo wanaoamini kila tatzo linatibika hosptal yaan wapo kisayansi tu wapo wanaokwenda...
Hawa wanabisha bure tu mkuu wakati hata huko hospitali kuna muda dokta anakushauri utafute tiba mbadala.
 
Hawa wanabisha bure tu mkuu wakati hata huko hospitali kuna muda dokta anakushauri utafute tiba mbadala.
Wengi wasichokijua ni kwamba jinsi tulivyo ni kutokana na ulaji wetu ñdo ile mtu anaugua kisukari anakatazwa kula matunda kisa ni yana sukari bila kjua ile ni sukari ya asili na haina madhara ispokuwa faida.

Ila ataambiwa anywe dawa kila sku sasa unajiuliza dawa na matunda kipi kina sumu mwilini kwa mtu jibu baki nalo wewe

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ya macho nnachojua dawa ya macho ni vifuu vya nazi ,unavichoma unasaga unapata unga wake mgonjwa anakuwa anatumia kwenye maji ya vuguvugu kikombe kimoja kutwa mara 3 lkn ndani ya nusu saa kabla ya kula ndani ya wiki 3

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ubarikiwe mkuu

Hata mimi macho yananisumbua kiasi
 
Nnachokiona kwako ni madaraja na imani wapo wanaoamini kila tatzo linatibika hosptal yaan wapo kisayansi tu wapo wanaokwenda hosptal kupima wajue tatzo nini alafu watajua dawa gani watumie na wanapona bila shaka yoyote enzi hzo watu walkuwa wanatibiwa na miti shamba bila sjui utafiti wala maandishi yoyote yale sema utandawazi umekuwa mwingi kitaa mfano hyo dawa ya chafya ulosema kiwango chake huwezi tumia sjui kijko ile inashkwa tu na vidole viwili kias basi na haya mambo ya utandawazi yamewafanya wengi kuumia kwa muda mrefu kisa tu hosptal wamesema ugonjwa huu hauna dawa ,au wanywe dawa fulan maisha yao yote yalobaki bila kujua wanajaza sumu mwilini kumbe wangetumia miti shamba wangepona na maisha yakasonga

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Point ya kuzingatia hapa mnakaza kichwa bure. Dawa yoyote ile iwe ya hospitali au mitishamba inahitaji utumie dozi isiyoumiza. Anayeambiwa dawa za asili zinaharibu figo zikitumiwa vibaya akabisha hilo ni juu yake. Afya ni yake akipata madhara kwake ni sawa. Mtu anatoa angalizo kwa jambo serious anakemewa ashindwe kwa jina la Yesu. Idiocy!
 
Watu hapa tunatumia scientific evidence na research au ushuhuda. Mambo ya kwa jina la Yesu peleka kwenye majini uko. Mnakuwa wapumbavu mnanisha kitu bila hoja wala uzoefu wowote kisa imani zenu.

I can confirm 100% kwamba dawa za kienyeji zisipozingatiwa zina madhara. Hasa usipojua dozi. Unaambiwa chemsha kunywa kikombe kidogo, kikombe kidogo ndio nini. Mimi kikombe changu kidogo ni 350ml, huyu atatafsiri kidogo ni 550ml, mwingine atatumia 200ml.

Nikiwa mdogo niliwahi pata kiungulia kikali baada ya kuelezwa vibaya dawa ya kikohozi nikazidisha dozi. Bado kuna dawa fulani ya kupiga chafya nilitumia nyingi bila kujua kiasi nikaumwa kichwa vibaya. Sasa imagine hizo ziwe ni dawa za kutumia siku 120
Kwahiyo kumbe ni bora kula madawa ya kemikeli za hospitali?
 
Nnachokiona kwako ni madaraja na imani wapo wanaoamini kila tatzo linatibika hosptal yaan wapo kisayansi tu wapo wanaokwenda hosptal kupima wajue tatzo nini alafu watajua dawa gani watumie na wanapona bila shaka yoyote enzi hzo watu walkuwa wanatibiwa na miti shamba bila sjui utafiti wala maandishi yoyote yale sema utandawazi umekuwa mwingi kitaa mfano hyo dawa ya chafya ulosema kiwango chake huwezi tumia sjui kijko ile inashkwa tu na vidole viwili kias basi na haya mambo ya utandawazi yamewafanya wengi kuumia kwa muda mrefu kisa tu hosptal wamesema ugonjwa huu hauna dawa ,au wanywe dawa fulan maisha yao yote yalobaki bila kujua wanajaza sumu mwilini kumbe wangetumia miti shamba wangepona na maisha yakasonga

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mkuu dawa ya goita

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo kumbe ni bora kula madawa ya kemikeli za hospitali?
Hata kusoma ukaelewa nayo shida. Basi fanya hivi, tumia hizo dawa zako za asili bila dosage. Fanya iwe kama chakula kusanya hata magunia uchemshe unywe maana afya sio yangu ni ya kwako
 
Ipo hivi wakuu, kuna ndugu yangu ana tatizo la HOMA YA INI(Hepatitis B) kwa muda mrefu sasa zaidi ya miaka kumi sasa ila ukimcheki yupo fresh tu.

Tulienda Muhimbili akapimwa akapangiwa clinic kwa muda mrefu sana ila kila akipimwa anaonekana yupo positive.

Sasa kuna daktari mmoja pale Muhimbili akatushauri tujaribu kwenye miti shamba kwani Hospital hakuna dawa ya hili tatizo.

Baada ya kushauriwa hivyo, tukaanza kufanya upelelezi kama ni kweli hili tatizo linatibika kwa Miti shamba au ndio tusubiri tu umauti.

Katika pitapita yetu YOUTUBE tukakutana na wataalam mbalimbali waliojieleza kuwa wao wanatibu HOMA YA INI kwa miti shamba.

Hofu inakuja bongo wapigaji wamekuwa wengi sana inatupa shida kuamini moja kwa moja.

Wakuu najua humu kuna watu wengi sana na wengine watakuwa na ushuhuda wa hili tatizo kama linatibika kwa miti shamba au laa.

Je, HOMA YA INI inatibika kwa miti shamba kweli?
Poleni sana

Nilikutwa na huu ugonjwa, na nikaambiwa n Chronic na ilinipasa kuwa nafanyiwa monitoring kila baada ya miezi sita
Nimeenda kuponea kwa Mwamposa,

Kaka kwa MUNGU YOTE YANAWEZEKANA
 
Poleni sana

Nilikutwa na huu ugonjwa, na nikaambiwa n Chronic na ilinipasa kuwa nafanyiwa monitoring kila baada ya miezi sita
Nimeenda kuponea kwa Mwamposa,

Kaka kwa MUNGU YOTE YANAWEZEKANA
Pole sana
 
Back
Top Bottom