ksksk
JF-Expert Member
- Aug 24, 2022
- 301
- 713
Nnachokiona kwako ni madaraja na imani wapo wanaoamini kila tatzo linatibika hosptal yaan wapo kisayansi tu wapo wanaokwenda hosptal kupima wajue tatzo nini alafu watajua dawa gani watumie na wanapona bila shaka yoyote enzi hzo watu walkuwa wanatibiwa na miti shamba bila sjui utafiti wala maandishi yoyote yale sema utandawazi umekuwa mwingi kitaa mfano hyo dawa ya chafya ulosema kiwango chake huwezi tumia sjui kijko ile inashkwa tu na vidole viwili kias basi na haya mambo ya utandawazi yamewafanya wengi kuumia kwa muda mrefu kisa tu hosptal wamesema ugonjwa huu hauna dawa ,au wanywe dawa fulan maisha yao yote yalobaki bila kujua wanajaza sumu mwilini kumbe wangetumia miti shamba wangepona na maisha yakasongaWatu hapa tunatumia scientific evidence na research au ushuhuda. Mambo ya kwa jina la Yesu peleka kwenye majini uko. Mnakuwa wapumbavu mnanisha kitu bila hoja wala uzoefu wowote kisa imani zenu...
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app