mnaweza kuzalisha pini? tuanzie hapo,Tanzania tunashindwa nini kuwa na source yetu ya kuzalisha internet ?
Hata wewe ni gaidi yafaa uthibitiwe mapemaHouth ni magaidi yafaa wadhibitiwe mara moja.
Itakuwa sio internet hii tunayoijua?Tanzania tunashindwa nini kuwa na source yetu ya kuzalisha internet ?
Intaneti ni mawasialiano ya dunia nzima.Tanzania tunashindwa nini kuwa na source yetu ya kuzalisha internet ?
Wakati Waarabu wa Saudia walipoongeza Bei ya Mafuta na kupunguza uzalishaji wa Mafuta wakati wa vita ya Ukraine lengo lao lilikuwa ni kutuadhibu SISI walaji wa chini Masikini.Hapo bado hajatuadhibu sisi.Amewaadhibu wale wale wanaohusika moja kwa moja
Si unaona JF bado iko hewani.
BAsi huna akiliNi aina moja wapo
Waulize korea kaskaziniHuu nao ni ushindi?
Wapo humu?Waulize korea kaskazini
Kuwekewa vikwazo wa kutumia wengine na wazungu wanaona wanamshinda kidukuWapo humu?