Je, hukumu ya Sabaya imetolewa ili kuzima malalamiko ya mamilioni ya Watanzania kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta?

Upo sahihi kabisa, mtoa mada amechanganya tarehe za kesi mbili tofauti.
 
Nimeona ndugu zake wanalia sn.Wamkanye mtoto wao,na wamfunde suala la kuumiza watu na kuwapa vilema.Kwanza akitoka aombe radhi na akome kutafuta vyeo kwa kuumiza watu.

Kama wanafanya mchongo atoke,basi saa hii huku uraiani atakutana na "asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu"
 
1 Litre of Petrol

1.Total cost CIF to Dar port 1,162
2. Wharfage 20.5
3. Railway devl levy 19.4
5. Customs processing fee 6.0
5. Weights & measures fee 5.6
6. TBS charge 10.0
7. TASAC fee 8.7
8. EWURA fee 9.0
9. Fuel making 16.0
10. Demurrage costs 8.0
11. Surveyors cost 8.00
12. Financial cost 17.0
13. Evaporation losses 6.5
14. Fuel levy 513.00
15. Excise duty 479.0
16. Petroleum fee 180.0
17. Oil marketing companies 163.0
18. Charges to executive agencies 6.0
19. Service levy to LGA 6.7
20. Retailers margin (profit) 210.5
21. Transport charges (local) 50.5

Total Levy 1,743.4
Plus TC 1,162

Total cost 2,905.4 @Wabunge wetu,huo mzigo wa 1,743.4 yote mlaji wa mwisho,Wananchi wenu wanakwenda kulipa kwa kila lita moja ya mafuta, yaani kodi ni kubwa kuliko bei halisi ya mafuta🤣 Tanzania nchi yaanguu..!
 
Kwa kweli inatisha Sana

Huo mlolongo wa kodi uliouorofhesha, hakika watawala wetu hawamwabudu huyu Mungu wetu, kwa unyama huu wa kumbebesha mzigo mkubwa mwananchi masikini kwa kiasi hicho, huku wenyewe wakiwa wanatembelea mavi-eite....,......

Hakika laana itawapata
 
Staged event to remove the inflation and high cost of living debucle from the headlines.
 
Zaidi ya Watanzania asilimia 90 hawamjui Sabaya, na hata tunaomjua, kushinda rufaa si issue kwetu ya kujadili sana maana alibambikiwa kesi na chadema na kutengeneza mashahidi wa uongo na leo wameumbuka. Issue ya mafuta iko pale pale
Bloodyfuckin
 
GT...
 
Kwa kweli inashangaza.

Inakuwaje Katika nchi moja, upande mmoja wa Muungano Zanzibar, wauze Petroli kwa shilingi 2,600

Huku Tanganyika tukiumizwa kwa bei isiyopungua 3,100?
Ni 3500
 
Mbombo ngafu
 
Kwa kweli inashangaza.

Inakuwaje Katika nchi moja, upande mmoja wa Muungano Zanzibar, wauze Petroli kwa shilingi 2,600

Huku Tanganyika tukiumizwa kwa bei isiyopungua 3,100?
RAIS WETU TUNAKUUNGA KWELI MKONO LAKINI HAPA UMETELEZA,AU WAPO WENYE NIA OVU NA WEWE,WANAKUJENGEA UBAYA ILI TUKUCHUKIE TAFAKARI SANA HILI NA KULITOLEA MAAMUZI MAPEMA,PANDISHENI BEI POMBE,SIGARA NA VINGINE VISIVYO VYA LAZIMA KWA MWANADAMU.
JAPO WANAKUFANYIA MAKUSUDI LAKINI SISI BADO TUNAKUPENDA SANA,#SSH_2040.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…