Tetesi: Je, huu mtego wa Tanpol dhidi ya John Mnyika utafanikiwa? Bado Mmoja TU kwa tetesi Kijana wetu anase na 2025 utakuwa mwaka wake wa MWISHO kisiasa

Wahalifu, jela
 
Hivi kwa majibu kama haya, huwaga mnayafikiria akilini mwenu kupata majibu ya hivi au ni aina tu ya uchawa chawa wa kusapoti gavumenti?
Mbowe na zitoo ni magenge ya waharifu na majambazi. Kika anayetishia uenyekiti wa mbowe au zitto basi anatekwa na kufa tu cheki beni saa 8 yupo wapi hahaha kwa ufupi nondo aanze na zito akizinduka kama ilivyo kwa lisu, mbowe katuma wauaji wamuue lisu na lisu anaujua ukweli kabisa ndiyo maana siku hizi ana mdis sana mbowe
 
Utakua mtego wa kipumbavu na wa kitoto Sana Sana. Tuna Polisi wa ajabu mno
 
Sasa we huoni km hao tanpol ndo wa kuanza nao? Mnyika wameamua tu kumtumia ili kumuangushia jumba bovu...

Km wapelelezi wetu wana akili ilibid wakae meza moja na mnyika ili km akitumiwa tena taarifa waanze kuifatilia mara moja na si kumhusisha mzee wa watu km naye muhalifu.
 
"Never interrupt your enemy when he is making a mistake." By Napoleon
 
Elimu ya hali juu kabisa na technologia ambayo mataifa yote duniani wameshindwa kutufikia na wanajifunza kwetu ni propaganda, utekaji, muuaji na unywaji wa pombe. Tumepiga hatua sana, tuko vizuri,, tujipigie makofi.
 
D
Dogo nondo kasalimika baada ya gari ya watekaji kunaswa ikibadilishwa namba
 
Kwani zito bado ni mwenyekiti?
 
"Mnyika 2025 hatoboi atakuwa jera". !!!!!!!!!!
 
..sasa watamfunga John Mnyika peke yake, au kuna wenzake?

..halafu Mnyika awe mtekaji?! mbona hana haiba hiyo? Si bora hata wangemsingizia Kigaila.
Kwanza ni muoga sana kwa wanao mjua. Mwepesi sana kukimbia varangati

Labda wam set makusudi
 
Kuhusu swala la kutekwa Aly kibao mnyika alijulishwa na familia ya Ally kibao baada ya kupigiwa simu na dereva wa Tashrifu ambaye yupo karibu na familia hiyo haya maswala yanakuwa na majibu ya hisia hisia kwasababu vyombo halisi vya uchunguzi havitoi wapi vimefikia aidha kwa nia nzuri au kwa mapenzi yao wenyewe.. Wapo wengi tu wametekwa na POLISI tu ndiyo tunaotegemea watupe ukweli wasipo tupatia ukweli kwa mda muafuka kila mtu anakua na dhana zake na hiyo ni kawaida kwa jambo lolote lakini mimi ninavyo jua kwa vyovyote vile POLISI watakuwa wamefikia atua fulani na wanaendelea na uchunguzi wao, Nondo amepatikana anaweza akatupatia picha ya watekaji nini walikuwa wanataka kwake ni maswali gani walimuhoji, kama ni yakisiasa, kibishara hata kimapenzi majibu yote anayo yeye, tuzidi kumuombea Mungu tu apone na awe na nguvu na afya yake iimarike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…