Je, huu ndio mwisho wa kutumia neno "Mabeberu"?

Je, huu ndio mwisho wa kutumia neno "Mabeberu"?

BRAIN BOX

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2021
Posts
387
Reaction score
317
Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imeonesha kufata mkondo tofauti na mwendazake Dkt.John Magufuli kuhusu Sera ya mambo ya nje.

Hii ni baada ya Rais Samia kuachana na wahafidhina wakina Prof. Palamagamba Kabudi kwenye wizara ya mambo ya kigeni na kumteua mwanadiplomasia aliebobea Bi. Liberata Mulamula.

Kwa wale wanaomfahamu Bi. Liberata Mulamula, ni mwanasiasa anaependa maridhiano na mashauriano kati ya Tanzania na nchi nyingine na jumuiya ya kimataifa.

Niliwahi kutazama mahojiano yake na TBC ambapo alionekana kutokurdhshwa na namna serikali ya Magufuli ilivyovuruga uhusiano na jumuia ya kimataifa.

Je, huu ndo mwisho wa kuwaita wazungu mabeberu na kutengeneza upya mahusiano na nchi za magharibi?
 
Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imeonesha kufata mkondo tofauti na mwendazake Dkt.John Magufuli kuhusu Sera ya mambo ya nje.

Hii ni baada ya Rais Samia kuachana na wahafidhina wakina Prof. Palamagamba Kabudi kwenye wizara ya mambo ya kigeni na kumteua mwanadiplomasia aliebobea Bi. Liberata Mulamula.

Kwa wale wanaomfahamu Bi. Liberata Mulamula, ni mwanasiasa anaependa maridhiano na mashauriano kati ya Tanzania na nchi nyingine na jumuiya ya kimataifa.

Niliwahi kutazama mahojiano yake na TBC ambapo alionekana kutokurdhshwa na namna serikali ya Magufuli ilivyovuruga uhusiano na jumuia ya kimataifa.

Je, huu ndo mwisho wa kuwaita wazungu mabeberu na kutengeneza upya mahusiano na nchi za magharibi?
Ni kweli kabisa.Hakuna tena mabeberu duniani.Mpaka wachina,wacuba wamebadilika.Pia hakuna Zionism,wala mabepari.ila bado kuna RACISM.Dunia ya leo imekua kama kijiji.
 
Washirika wa maendeleo waliitwa Mabeberu na wapambe walirukaruka kwa furaha.

Leo wanarudishwa kwa heshima kushirikiana nasi kwa mara nyingine.
Tanzania haiwezi kuishi maisha kama tupo kisiwani, tunahitaji uwekezaji ili kuboresha ajira na pia kuongeza mapato ya kodi.
Kama mwekezaji anakuibia huo ni ujinga wako
Jina Beberu tupa kwenye "dust bin"
 
Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imeonesha kufata mkondo tofauti na mwendazake Dkt.John Magufuli kuhusu Sera ya mambo ya nje.

Hii ni baada ya Rais Samia kuachana na wahafidhina wakina Prof. Palamagamba Kabudi kwenye wizara ya mambo ya kigeni na kumteua mwanadiplomasia aliebobea Bi. Liberata Mulamula.

Kwa wale wanaomfahamu Bi. Liberata Mulamula, ni mwanasiasa anaependa maridhiano na mashauriano kati ya Tanzania na nchi nyingine na jumuiya ya kimataifa.

Niliwahi kutazama mahojiano yake na TBC ambapo alionekana kutokurdhshwa na namna serikali ya Magufuli ilivyovuruga uhusiano na jumuia ya kimataifa.

Je, huu ndo mwisho wa kuwaita wazungu mabeberu na kutengeneza upya mahusiano na nchi za magharibi?
Mwisho vipi kwani lilianza kutumika jana?
 
Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imeonesha kufata mkondo tofauti na mwendazake Dkt.John Magufuli kuhusu Sera ya mambo ya nje.

Hii ni baada ya Rais Samia kuachana na wahafidhina wakina Prof. Palamagamba Kabudi kwenye wizara ya mambo ya kigeni na kumteua mwanadiplomasia aliebobea Bi. Liberata Mulamula.

Kwa wale wanaomfahamu Bi. Liberata Mulamula, ni mwanasiasa anaependa maridhiano na mashauriano kati ya Tanzania na nchi nyingine na jumuiya ya kimataifa.

Niliwahi kutazama mahojiano yake na TBC ambapo alionekana kutokurdhshwa na namna serikali ya Magufuli ilivyovuruga uhusiano na jumuia ya kimataifa.

Je, huu ndo mwisho wa kuwaita wazungu mabeberu na kutengeneza upya mahusiano na nchi za magharibi?
Ww Ww Ww
 
Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imeonesha kufata mkondo tofauti na mwendazake Dkt.John Magufuli kuhusu Sera ya mambo ya nje.

Hii ni baada ya Rais Samia kuachana na wahafidhina wakina Prof. Palamagamba Kabudi kwenye wizara ya mambo ya kigeni na kumteua mwanadiplomasia aliebobea Bi. Liberata Mulamula.

Kwa wale wanaomfahamu Bi. Liberata Mulamula, ni mwanasiasa anaependa maridhiano na mashauriano kati ya Tanzania na nchi nyingine na jumuiya ya kimataifa.

Niliwahi kutazama mahojiano yake na TBC ambapo alionekana kutokurdhshwa na namna serikali ya Magufuli ilivyovuruga uhusiano na jumuia ya kimataifa.

Je, huu ndo mwisho wa kuwaita wazungu mabeberu na kutengeneza upya mahusiano na nchi za magharibi?
Ww
 
Back
Top Bottom