Je huu ndio ukweli kuhusu mshana jr ?

Je huu ndio ukweli kuhusu mshana jr ?

Duhhh MZEE wa kuzimu na njoo ubadilishe cheti feki kuwa original APA....
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Jamii Forums watu mnafurahishaga sana.
Njoo kwangu nikuonyeshe kipaji chako, enzi za vyeti ishakwisha,useless
 
Kama atakutatulia hilo tatizo lako nitamkubali sana..
Hahahaha cheti feki kuwa OG
 
mkuu ngoja nikutumie namba zake ilo jamaa bonge la ganga.kuna jamaa yangu mmoja alipatiwa mavituz na huyo jamaa sasa hivi bonge la tajiri.sema ana mashariti magumu sana
 
mkuu ngoja nikutumie namba zake ilo jamaa bonge la ganga.kuna jamaa yangu mmoja alipatiwa mavituz na huyo jamaa sasa hivi bonge la tajiri.sema ana mashariti magumu sana
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
mkuu ngoja nikutumie namba zake ilo jamaa bonge la ganga.kuna jamaa yangu mmoja alipatiwa mavituz na huyo jamaa sasa hivi bonge la tajiri.sema ana mashariti magumu sana
Kidogo naanza kuelewa jamaa ni nani mkuu kjj
 
Jamani huyu Mshana Jr. ameonekana Dakika 10 zilizopita usiku huu akielekea mapori ya ushirombo.
 
Amani kwenu wadau
Muda mrefu nimekuwa nikimfuatilia huyu jamaa kwa maana ya mshana jr na mada zake,yeye amejikita zaidi kwenye mauza uza ya kutisha na uganga na pia hutoa habari za kiimani pia,

Sasa kwa mnao mfahamu mtu huyu jamani je ni mganga au ni mchungaji
Na kama ni mganga nataka anielekeze maana mambo yangu hayaendi sawa tangu nilipotumbuliwa kwenye swala la vyeti fake

Ni hayo natumaini undani mwingi toka kwa wachangiaji
Muombe Mungu akutoe Gizan... Utambue nin lakufanya...maana km ulitumbuliwa kwa vyet feki basi unajua nin chanzo Cha tatzo.
 
Huyo jamaa hata mimj nliona profile yKe nkashangaa, nmeona kama anafanya kazi mortuary
 
Back
Top Bottom