Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK[emoji23] [emoji23] [emoji23]Duhhh MZEE wa kuzimu na njoo ubadilishe cheti feki kuwa original APA....
Inaonyesha ulivyo na hilo jini lilivyokutawalaKama una tatizo si ugelisema hapa tu, ama la ni tazizo binafsi au mahaba basi mfuate PM
Boda boda sipati abiria baada ya kutumbuliwa nilikuwa mjasiria maliunataka mshana abadilishe cheti feki kua original?
Ukimwana mshana niombee na mimi dawa ya hilo jiniInaonyesha ulivyo na hilo jini lilivyokutawala
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]Na yeye ametumbuliwa uganga alikuwa na vyeti feki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]Ukimwana mshana niombee na mimi dawa ya hilo jini
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji124] [emoji124] [emoji124]mkuu ngoja nikutumie namba zake ilo jamaa bonge la ganga.kuna jamaa yangu mmoja alipatiwa mavituz na huyo jamaa sasa hivi bonge la tajiri.sema ana mashariti magumu sana
Kidogo naanza kuelewa jamaa ni nani mkuu kjjmkuu ngoja nikutumie namba zake ilo jamaa bonge la ganga.kuna jamaa yangu mmoja alipatiwa mavituz na huyo jamaa sasa hivi bonge la tajiri.sema ana mashariti magumu sana
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mida hii atakuwa angani na ungo anakagua mipaka ya nchi
Muombe Mungu akutoe Gizan... Utambue nin lakufanya...maana km ulitumbuliwa kwa vyet feki basi unajua nin chanzo Cha tatzo.Amani kwenu wadau
Muda mrefu nimekuwa nikimfuatilia huyu jamaa kwa maana ya mshana jr na mada zake,yeye amejikita zaidi kwenye mauza uza ya kutisha na uganga na pia hutoa habari za kiimani pia,
Sasa kwa mnao mfahamu mtu huyu jamani je ni mganga au ni mchungaji
Na kama ni mganga nataka anielekeze maana mambo yangu hayaendi sawa tangu nilipotumbuliwa kwenye swala la vyeti fake
Ni hayo natumaini undani mwingi toka kwa wachangiaji