Je, huu ndiyo mwisho wa utawala wa "THE BAVARIANS"baada ya miaka 10 kupita?

Je, huu ndiyo mwisho wa utawala wa "THE BAVARIANS"baada ya miaka 10 kupita?

carnage21

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2023
Posts
591
Reaction score
1,382
Baada ya miaka kumi kupita huku ikibaki mechi moja tu msimu wa 2022/2023 bundesliga kuisha mtanange wa kuwania kombe la ligi hiyo kati ya bayern munich na borussia dortmund umezidi kunoga.

Dortmund akiongoza ligi na alama 70 akifuatiwa na bayern mwenye alama 68 bado mambo yamekua magumu.Ligi kuu hii ujerumani inatarajiwa kuisha tarehe 27/5/2023 ambapo bayern atakipiga dhidi ya Fc koln huku dortmund wakichuana na mainz 05.

FB_IMG_16847459182285425.jpg

Je,borussia dortmund watapata ushindi dhidi ya mainz 05 na kutangazwa kuwa mabingwa wa ligi kuu nchini german!?
 
Ubingwa wa dotmund huu,

Bayern kaupoteza kizembe Sana

Walikosea sn kumfuuza nigelsman na kumleta tuchel, hili kosa litawagharim mpk watakapofanya mabadilko ya kocha anayeeleweka.

Bayern Ni ile ile, ila inavocheza sahv utadhani ruvu shooting.

Pale mchawi Ni kocha
 
Kwa msimamo ulivyo BADO mechi tano,SAWA na point 15,KAZI BADO haijaisha kabisa!!

YEYOTE binges msim huu!!
Baada ya miaka kumi kupita huku ikibaki mechi moja tu msimu wa 2022/2023 bundesliga kuisha mtanange wa kuwania kombe la ligi hiyo kati ya bayern munich na borussia dortmund umezidi kunoga...
 
Baada ya miaka kumi kupita huku ikibaki mechi moja tu msimu wa 2022/2023 bundesliga kuisha mtanange wa kuwania kombe la ligi hiyo kati ya bayern munich na borussia dortmund umezidi kunoga.

Dortmund akiongoza ligi na alama 70 akifuatiwa na bayern mwenye alama 68 bado mambo yamekua magumu.Ligi kuu hii ujerumani inatarajiwa kuisha tarehe 27/5/2023 ambapo bayern atakipiga dhidi ya Fc koln huku dortmund wakichuana na mainz 05.


Je,borussia dortmund watapata ushindi dhidi ya mainz 05 na kutangazwa kuwa mabingwa wa ligi kuu nchini german!?
Wanaweza wasipate huo ubingwa,
ila pia hata wakipata nadhani tuchel anahitaji full pre-season kuijua vizuri timu aliyonayo.
 
Ubingwa wa dotmund huu,

Bayern kaupoteza kizembe Sana

Walikosea sn kumfuuza nigelsman na kumleta tuchel, hili kosa litawagharim mpk watakapofanya mabadilko ya kocha anayeeleweka.

Bayern Ni ile ile, ila inavocheza sahv utadhani ruvu shooting.

Pale mchawi Ni kocha

Nigelsman alikua ametengeneza chemistry nzuri sana ya timu. Bayern ilikua moto sana ila tuchel kafanya bayern iwe wachovu sana asee. [emoji119]
 
Back
Top Bottom