DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Ha ha ha....Aise tuchel wa chelsea akimuona huyu tuchel wa sasa asee atampiga vibao sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha....Aise tuchel wa chelsea akimuona huyu tuchel wa sasa asee atampiga vibao sana
Angalia Nani Yuko fom sahv,dotmund anatembeza kichapo Ni balaa hivi karibuni[emoji4]Dortmund akipata Sare na Bayern akashinda ina maana Bingwa atakuwa Bayern [emoji119]
Namba moja ajaye nchini bongo ina visa sana hii 🤣🤣Hapo kwenye msimamo huoni played 33 inamaana BADO mechi tano ifike 38!!?hebu cheki msimamo huo hapo juu!!!
Mnyunguli wa changaa itaswi nini!!!?We kiazi unayejiita NAMBA MOJA AJAYE NCHINI ligi ya ujerumani ina team 18 so ligi inakuwa na mzunguko wa mechi 34.
Pep ndio aliharibu style ya uchezaji wa Bayern, Nigelsman alikuwa anaurudisha ule mfumo ila bado alikuwa hajamaliza kazi. Tusche mule hakuna kocha, ni zali tu lilimtokea pale Chelsea.Ubingwa wa dotmund huu,
Bayern kaupoteza kizembe Sana
Walikosea sn kumfuuza nigelsman na kumleta tuchel, hili kosa litawagharim mpk watakapofanya mabadilko ya kocha anayeeleweka.
Bayern Ni ile ile, ila inavocheza sahv utadhani ruvu shooting.
Pale mchawi Ni kocha
Ukiitoa timu yenyewe zinabaki 17Mech 34 timu zipo 18 kwa ligi, piga hesabu vizuri
Ukiitoa timu yenyewe zinabaki 17
Hizo timu 17 anacheza nazo home na away (17×2=34)
Hapo kwenye msimamo huoni played 33 inamaana BADO mechi tano ifike 38!!?hebu cheki msimamo huo hapo juu!!!
Bwashee hizo mechi tano wewe umetoa wapi, wamebakiza mechi moja tu ambazo zitapigwa weekend.Kwa msimamo ulivyo BADO mechi tano,SAWA na point 15,KAZI BADO haijaisha kabisa!!
YEYOTE binges msim huu!!
Atapata ubingwa kupitia goals different.Dortmund akipata Sare na Bayern akashinda ina maana Bingwa atakuwa Bayern [emoji119]
Jana dortmund akiwa ugenini kama sio mipnzani kupata red card basi ushindi wa dortmund ungeweza kuwa ni droo.Angalia Nani Yuko fom sahv,dotmund anatembeza kichapo Ni balaa hivi karibuni[emoji4]
Match 5? hiyo Bundesliga ya Austria au wapi?Kwa msimamo ulivyo BADO mechi tano,SAWA na point 15,KAZI BADO haijaisha kabisa!!
YEYOTE binges msim huu!!
Mainz 05 sio wa kunyea.. hata Kóln pia. Still ana nafasi. Hatuwezi kusema a hundred percent Dortmund bingwa Ilhali akitoa sare Bayer akashinda anakuwa bingwa kwa GDBaada ya miaka kumi kupita huku ikibaki mechi moja tu msimu wa 2022/2023 bundesliga kuisha mtanange wa kuwania kombe la ligi hiyo kati ya bayern munich na borussia dortmund umezidi kunoga.
Dortmund akiongoza ligi na alama 70 akifuatiwa na bayern mwenye alama 68 bado mambo yamekua magumu.Ligi kuu hii ujerumani inatarajiwa kuisha tarehe 27/5/2023 ambapo bayern atakipiga dhidi ya Fc koln huku dortmund wakichuana na mainz 05.
Je,borussia dortmund watapata ushindi dhidi ya mainz 05 na kutangazwa kuwa mabingwa wa ligi kuu nchini german!?
Sio Saiv siku Zote zipo 18..Bro bundesliga kuna timu 18 saiv😂😂😂
Wanaecheza nae tia maji tia maji. Hata legeza wahuni wabebe ndoo nani anae penda kila siku timu moja tuDortmund bado wana kazi ya kufanya game ya mwisho wanaweza zingua kisha wasiamini kitakachotokea..