AhahahahaCRDB wanasema account yangu namba imebadilika,wasiliana na tawi la CRDB lililo karibu yako.
Nimekwenda benki kuuliza,what is this,mimi nimebadilisha account namba yangu lini?
Wanasema yapo matatizo lakini hapa hatuna facility za kukuhudumia,nenda tawi lingine.
Kwa hiyo bado nawatafuta benki
Lakini account yangu benki sasa hivi haina hela.
SwadaktaKuna michezo huwa inafanyika kwa kudhirikiana na wafanyakazi wa benki
Wao wanatoa siri za account ambazo ziko dormant kwa muda mrefu halafu zinatumika kupitisha pesa za dili
Mimi napokea meseji za NMB kutoka na kuweka na Sina account hukoKuna ndugu yangu mmoja ana account huko CRDB, ila anasema haijatimia kwa muda mrefu kidogo.
Sasa wiki ya pili anapokea jumbe za alerts kuwa account yake imepokea sh. Kadhaa, mara baada ya muda mfupi anapokea tena jumbe kuwa account yake imetolewa fedha kiasi kadhaa sawia na ile pesa iliyoingia.
Nilimwambia aangalie Salio akasema kadi hajui iko wapi na app haiko kwenye simu yake. Alihisi account kapewa mtu mwingine.
Nikamwambia watu wa benki wako makini sana hawawezi kumpa mtu account yenye usawia na ya mtu mwingine. Pia kwanini namba ya simu hawajabadili.
Mimi nimemsanua may be ni mapapa, na asipoangalia jela inamngoja maana ni pesa nyingi sana.
Milioni mia , mia na kitu, milioni tisini, milioni mia mbili n.k
Kama ni mchezo mchafu nani anaibiwa?
Pesa wanasema zimetoka kwa swift
mluguru, driver analipwa laki 3, nilimshangaa sana,Jamaa atakuwa msukuma ana ushamba uliochanganyika na ujinga.
Ukitaka kula lazima uliwe.
Liwa kidogo, kula sana.
Anataka zote kwani ni za babaake?
CIA kazini.Dah yuko wapi nimsaidie kutafuta kadi tupate hela
Hivi ukiwekewa pesa nyingi kwenye account yako ya Bank ambayo sio yako ukiitoa kuna shida?
Acha ujiñga hela nyingi hivo huwezi kutoa kwa kuongea na teller peke yake. Lazima upeleke kwa branch manager na utoe copy kitambulisho. Inaonesha hujawahi toa hata 5m wewe.kuna boya mmoja ziliingia 250m, akanistua nikaenda kuongea na teller mmoja akasema anaweza toa hyo hela ila atachukua 25m, boya akakataa akaenda kwa branch manager, ndani ya nusu saa account inasoma laki na 72 yake.
Nakaziaproject managers wa mabenk mara nyingi huwa wanatumia izo account kufanyia majaribio ya project zao
Hii yako itakua kuna mtu anafanya miamala ya kibank kupitia wakala kwenye kueka no anaweka na ya cm ya kwakoMimi napokea meseji za NMB kutoka na kuweka na Sina account huko
mkuu wala tusianze kuitana wajinga, maana hzo 5m unazosema nimeshatoa sana, na ninachofanya naenda dawati la customer care na form yangu na kitambulisho changu, wao ndo wana jukumu la kwenda kwa manager huko na kufanya wafanyacho, baada ya hapo wananirudishia form yangu naenda kwa teller kuchukua mzigo.Acha ujiñga hela nyingi hivo huwezi kutoa kwa kuongea na teller peke yake. Lazima upeleke kwa branch manager na utoe copy kitambulisho. Inaonesha hujawahi toa hata 5m wewe.