zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Inaniuma sana nikiwa Kama shabiki wa soka mkubwa. Hasa nikiwatazama mahasimu wakubwa wa soka waliokuwa wakinogesha soka kwa uhasimu wao uliowekwa na mashabiki wa soka duniani?
Majina yao yamekosekana katika Tuzo za Uefa (Best Men's Player) katika hali isiyo ya kawaida. Ikiwa ni kwa mara ya kwanza toka 2010 majina ya aidha Ronaldo au Messi kukosekana kwenye Tuzo hizo. Majina yaliyotajwa yakiwa ni Kelvin De Bryune, Manuel Neur na Robert Lewandoski.
Nikiwa Kama shabiki wa soka kama kuna kitu kitaniuma ni kuona wanastaafu.Interest yangu kwenye soka inaweza kupungua kabisa kwa kuwakosa wawili hawa.
Itakumbukwa pia Tuzo za Ballon D'or mwaka huu hazitatolewa na mashabiki wa soka hawakupendekeza kabisa majina ya Messi Na Ronaldo.
Hii inatosha kusema Ufalme wa Nyota hawa bora kabsa Duniani umefika mwisho?
Je, Unadhani Dunia Itawahi kuwa na wachezaji bora Kama hawa Dena?
Majina yao yamekosekana katika Tuzo za Uefa (Best Men's Player) katika hali isiyo ya kawaida. Ikiwa ni kwa mara ya kwanza toka 2010 majina ya aidha Ronaldo au Messi kukosekana kwenye Tuzo hizo. Majina yaliyotajwa yakiwa ni Kelvin De Bryune, Manuel Neur na Robert Lewandoski.
Nikiwa Kama shabiki wa soka kama kuna kitu kitaniuma ni kuona wanastaafu.Interest yangu kwenye soka inaweza kupungua kabisa kwa kuwakosa wawili hawa.
Itakumbukwa pia Tuzo za Ballon D'or mwaka huu hazitatolewa na mashabiki wa soka hawakupendekeza kabisa majina ya Messi Na Ronaldo.
Hii inatosha kusema Ufalme wa Nyota hawa bora kabsa Duniani umefika mwisho?
Je, Unadhani Dunia Itawahi kuwa na wachezaji bora Kama hawa Dena?