Je huu ni uchawi wa namna gani?

Je huu ni uchawi wa namna gani?

Sumbalawinyo

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2009
Posts
1,282
Reaction score
248
Leo mida ya saa nane kasoro ishirini usiku tumemkamata kibaka akiiba vitu kutoka katika gari yangu Harrier.

Kwa hasira tukaanza kumpiga kwa mawe na matofali, kwa zaidi ya masaa mawili anapigika na wala haumii wala hatoki damu.

Mida ya saa kumi tukaamua kumvisha gurudumu na kumchoma moto.
Tukamwagia petroli kisha tukamuwasha. Matokeo yake ni nguo zake tu ndizo zilizoungua.

Gurudumu likawaka juu ya mwili wake bila ndugu kibaka kudhurika.
Tukawa wapole tukamwacha aende.

Je huu ni uchawi wa namna gani?
 
Ngoja tumuulize MziziMkavu
Leo mida ya saa nane kasoro ishirini usiku tumemkamata kibaka akiiba vitu kutoka katika gari yangu Harrier.
Kwa hasira tukaanza kumpiga kwa mawe na matofali, kwa zaidi ya masaa mawili anapigika na wala haumii wala hatoki damu.
Mida ya saa kumi tukaamua kumvisha gurudumu na kumchoma moto.
Tukamwagia petroli kisha tukamuwasha. Matokeo yake ni nguo zake tu ndizo zilizoungua.
Gurudumu likawaka juu ya mwili wake bila ndugu kibaka kudhurika.
Tukawa wapole tukamwacha aende. Je huu ni uchawi wa namna gani?
 
Last edited by a moderator:
Najua watu wengi hawawezi kuamini ila kuna sehemu moja Mbozi ilitokea issue kama hiyo ya kibaka kuiba na kukamatwa.

Watu wakampiga lakini jamaa wala halii, akatokea jamaa mmoja akasema "Msimpige yeye, pigeni kivuli chake". Walipoanza kupiga kivuli jamaa akaanza kulia balaa, na walipozidi jamaa hakuchukua muda akafairiki dunia.
 
Najua watu wengi hawawezi kuamini ila kuna sehemu moja Mbozi ilitokea issue kama hiyo ya kibaka kuiba na kukamatwa. Watu wakampiga lakini jamaa wala halii, akatokea jamaa mmoja akasema "Msimpige yeye, pigeni kivuli chake". Walipoanza kupiga kivuli jamaa akaanza kulia balaa, na walipozidi jamaa hakuchukua muda akafairiki dunia.
sasa kwa huyu mwenzetu, usiku mzito hivyo wangekipata wapi kivuli chake?
 
Jaman watu wa jf wabishi uchawi huo upo kuna wezi wengine huwashiki kama unanguo zako yaani huwaoni mpaka uwe uchi chezea uchawi wewe upo sana teh teh teh teh tehte najua mtabisha
 
wapi polisi!huyu mtu anasimulia jinsi alivyojaribu kufanya mauaji,kamateni huyu sheria mkononi!na wewe kibaka hebu njoo utoe ushuhuda ni mtaa upi ullipewa kichapo!
(nanongona)na-mimi-nipe- hiyo "anti kichapo"yako maana kuna mke wa mjeshi jirani namtamani!
 
Najua watu wengi hawawezi kuamini ila kuna sehemu moja Mbozi ilitokea issue kama hiyo ya kibaka kuiba na kukamatwa. Watu wakampiga lakini jamaa wala halii, akatokea jamaa mmoja akasema "Msimpige yeye, pigeni kivuli chake". Walipoanza kupiga kivuli jamaa akaanza kulia balaa, na walipozidi jamaa hakuchukua muda akafairiki dunia.

...badala ya kutupatia ufumbuzi umeongeza sintofaham nyingine...
 
Msibishe, huo uchawi upo. Kigoma wanautengeneza vizuri sana na kwa bei nafuu. Nimewahi kushuhudia kwa macho yangu mwenyewe. Jinsi ya kutengeneza najua pia nitarudi kuelezea hapa.

Kule kigoma wanaita kidono
 
wapi polisi!huyu mtu anasimulia jinsi alivyojaribu kufanya mauaji,kamateni huyu sheria mkononi!na wewe kibaka hebu njoo utoe ushuhuda ni mtaa upi ullipewa kichapo!
(nanongona)na-mimi-nipe- hiyo "anti kichapo"yako maana kuna mke wa mjeshi jirani namtamani!

Mitaa yetu Sinza kuna wezi wa vifaa vya magari wanatusumbua sana. Wezi hao ni kero kubwa mtaania, sasa tumeazimia kuwaua kabisa, wewe ita polisi wako, na sisi tuendelee na ya kwetu
 
Mitaa yetu Sinza kuna wezi wa vifaa vya magari wanatusumbua sana. Wezi hao ni kero kubwa mtaania, sasa tumeazimia kuwaua kabisa, wewe ita polisi wako, na sisi tuendelee na ya kwetu
nyie ndio mnawasumbua hao wezi kila mara mnataka mletewe vifaa vya magari vya wizi-acheni kununua vifaa vya wizi muone kama mtaibiwa!

na huyu mwizi akiwapa wenzake hiyo anti-kichapo itakuwa balaa,maana waaiba mchana halafu hawapigiki!
 
nyie ndio mnawasumbua hao wezi kila mara mnataka mletewe vifaa vya magari vya wizi-acheni kununua vifaa vya wizi muone kama mtaibiwa!
na huyu mwizi akiwapa wenzake hiyo anti-kichapo itakuwa balaa,maana waaiba mchana halafu hawapigiki!

tusiombee yatokee, hayo ya kupeana dawa ya anti kichapo
 
Leo mida ya saa nane kasoro ishirini usiku tumemkamata kibaka akiiba vitu kutoka katika gari yangu Harrier.
Kwa hasira tukaanza kumpiga kwa mawe na matofali, kwa zaidi ya masaa mawili anapigika na wala haumii wala hatoki damu.
Mida ya saa kumi tukaamua kumvisha gurudumu na kumchoma moto.
Tukamwagia petroli kisha tukamuwasha. Matokeo yake ni nguo zake tu ndizo zilizoungua.
Gurudumu likawaka juu ya mwili wake bila ndugu kibaka kudhurika.
Tukawa wapole tukamwacha aende. Je huu ni uchawi wa namna gani?

Haya mambo yapo,Hapo Buguruni kuna jambazi lilipigwa kipigi kikali lakini,bado jambazi lilikuwa linapumua.
Lakini,akaibuka mtu mojawapo akasema mpekueni huyu jambazi atakuwa amefunga mwilini mwake HIRIZI.!!!!

Sangoma huwa wanawapatia kinga wahalifu.mfano,unaweza kukutana na mhalifu akawa anakupa maneno ya uongo lakini unajikuta unadanganyika bila kujua,unatoa pesa na unashtuka baada ya muda kwamba ulikwa unadanganywa.!!!!!!!

Kibaka angevuliwa nguo,hata hirizi au kinga zingine zingetoka.!!!
 
Matatizo yenu ni kwamba mnadhani spiritual matters are limited by circumstances.Hii si kweli,mbona kwenye biblia akina Shadrack na Abednego waliwekwa kwenye tanuru la moto na hawakuungua.

The devil can equally do wonders kama ukimwabudu.Ni wewe tu.

Leo mida ya saa nane kasoro ishirini usiku tumemkamata kibaka akiiba vitu kutoka katika gari yangu Harrier.
Kwa hasira tukaanza kumpiga kwa mawe na matofali, kwa zaidi ya masaa mawili anapigika na wala haumii wala hatoki damu.
Mida ya saa kumi tukaamua kumvisha gurudumu na kumchoma moto.
Tukamwagia petroli kisha tukamuwasha. Matokeo yake ni nguo zake tu ndizo zilizoungua.
Gurudumu likawaka juu ya mwili wake bila ndugu kibaka kudhurika.
Tukawa wapole tukamwacha aende. Je huu ni uchawi wa namna gani?
 
Back
Top Bottom