Je, huu ni Udhaifu nilionao au ni Baraka ya Kipekee kutoka kwa Mwenyezi Mungu?

Je, huu ni Udhaifu nilionao au ni Baraka ya Kipekee kutoka kwa Mwenyezi Mungu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani naweza kupewa na mtu (tena wengine sijuani nao kivile) pesa zao kuanzia Tsh. 500,00 hadi Mamilioni niwatunzie na wakizihitaji/wakija kuzichukua nawapa zikiwa vile vile na hata sijanyofoa chochote.

Na kinachonishangaza zaidi mimi huyu huyu GENTAMYCINE ambaye naaniniwa kupewa pesa za watu niwatunzie sina hata buku (Tsh. 1,000/=) mfukoni (choka mbaya niliyetukuka) lakini hata tamaa ya kunyofoa au kudhulumu pesa ninazowashikia watu huwa sina.

Kitendo ambacho huwa kinawakwaza sana wana (washkaji) na wakisema nitakufa masikini kwa kuwa muaminifu.

Je, hapa ninakosea au nipo sahihi?
 
😂😂 we hata kama nngekua nakujua nisingekuachia unaonekana mtu wa sound sana mkuu ukikaa kijiweni nahis watu huwaga wanacheka mda ote kama doto magari viLe
 
😂😂 we hata kama nngekua nakujua nisingekuachia unaonekana mtu wa sound sana mkuu ukikaa kijiweni nahis watu huwaga wanacheka mda ote kama doto magari viLe
Nahisi unanijua Mkuu kwani Umelenga almost mule mule tu. Yaani nimecheka mpaka basi.

Hapana Mkuu Wewe niamini tu kwa 100% katika Pesa ( Fedha ) ila kwa Mademu ( Wanawake ) nakuomba Usiniamini kabisa kwani Mimi huko ni Mdhaifu hakuna mfano na napenda Mbunye kuliko hata Chakula.
 
Yaani naweza kupewa na mtu (tena wengine sijuani nao kivile) pesa zao kuanzia Tsh. 500,00 hadi Mamilioni niwatunzie na wakizihitaji/wakija kuzichukua nawapa zikiwa vile vile na hata sijanyofoa chochote.

Na kinachonishangaza zaidi mimi huyu huyu GENTAMYCINE ambaye naaniniwa kupewa pesa za watu niwatunzie sina hata buku (Tsh. 1,000/=) mfukoni (choka mbaya niliyetukuka) lakini hata tamaa ya kunyofoa au kudhulumu pesa ninazowashikia watu huwa sina.

Kitendo ambacho huwa kinawakwaza sana wana (washkaji) na wakisema nitakufa masikini kwa kuwa muaminifu.

Je, hapa ninakosea au nipo sahihi?
HV Kweli karne hi Kuna kushikiana pesa, kweli nimeamini watu kutoka musoma ,Mara Ni washamba ,wajinga walio tukukaa[emoji3]
 
Yaani naweza kupewa na mtu (tena wengine sijuani nao kivile) pesa zao kuanzia Tsh. 500,00 hadi Mamilioni niwatunzie na wakizihitaji/wakija kuzichukua nawapa zikiwa vile vile na hata sijanyofoa chochote.

Na kinachonishangaza zaidi mimi huyu huyu GENTAMYCINE ambaye naaniniwa kupewa pesa za watu niwatunzie sina hata buku (Tsh. 1,000/=) mfukoni (choka mbaya niliyetukuka) lakini hata tamaa ya kunyofoa au kudhulumu pesa ninazowashikia watu huwa sina.

Kitendo ambacho huwa kinawakwaza sana wana (washkaji) na wakisema nitakufa masikini kwa kuwa muaminifu.

Je, hapa ninakosea au nipo sahihi?
Una pepo yako special mkuu ntakuletea na shemu wako unitunzie
 
Back
Top Bottom