Je huu ni uungwana jamani?

Je huu ni uungwana jamani?

Yaani mimi natamani hata kulia maana huyu jamaa kanikera kupita maelezo kwanini ulete mwanamke nyumbani kwako TF kasema ni kuiabisha familia yako na sijui alikuwa na maana gani mijitu mingine bana inaudhi kweli

Daahhh hiyo ya kumpeleka nyumbani imezidi dahhhhh kuna watu wamekosa aibu kabisa yaani

kwa vile huyo mama ndio mwenye kazi na fedha mi naona aache kutuma hizo fedha azikusanye arudi nyumbani kutunza familia yake au afanye awezalo kuhamisha familia karibu yake.. hapo sijui nani ndo baba mwenye nyumba...maana mama ndio anaeongoza na kutunza familia...
 
wiselady, watu wengine wana sura za mbuzi, we acha tu!

Lakini bacha tusilaumu sana inawezekana huyu dada(wifey) amekaa muda sana bila kuonana na hubby wake ikapelekea yote hayo.....au?
 
WL yaani unamtetea huyu jamaa siamini???

simtetei bana lkn tusimlaumu sana nae ni binadamu ndo maana nikauliza hilo swali yaweza kuwa uvumilivu ulishindikana.....si vema najua:biggrin1:
 
Once you chop it off all the problems are solved unafikiri atatumia nini tena labda atumie mguu au mkono:biggrin1::biggrin1:

Hahahahahsha we zingatia pesa zenyewe za mkopo we unadhani hawara atakubali mguu kweli mmmmhhh....
 
simtetei bana lkn tusimlaumu sana nae ni binadamu ndo maana nikauliza hilo swali yaweza kuwa uvumilivu ulishindikana.....si vema najua:biggrin1:

Uvumilivu ndo ulete mwanamke nyumba hakuna nyumba za kulala wenyeji??? WL????
 
Mh bacha hutaniwi? Pole
Aksante mwaya kwa kutuletea habari hii.

Sasa naomba nijibu swali lako........huu si uungwana but nimeuliza kama shemeji anajua kama dada yetu anajua kuwa yeye anachakachua nje??


mume anaamini kuwa bado ni siri yake,
na wala mke wake hajui hilo!!!!!!!
 
simtetei bana lkn tusimlaumu sana nae ni binadamu ndo maana nikauliza hilo swali yaweza kuwa uvumilivu ulishindikana.....si vema najua:biggrin1:

wewe! watu tuko mbali na wife zetu kwa miaka miwili sasa
alishindwa kuvumilia gani ni mshenzi tu huyo
 
Back
Top Bottom