Je, huu ni wakati sahihi kwa kanisa Katoliki kubadilika na kuendana na kasi ya makanisa ya Kilokole?

Je, huu ni wakati sahihi kwa kanisa Katoliki kubadilika na kuendana na kasi ya makanisa ya Kilokole?

Upo hapa unalalamika michango ya Jumuiya ambayo hugawanywa kila kaya let's say itoe 25,000/= siyo wewe peke yako na hulazimishwi kuchanga but wakati huo huo una wanao unawalipia school fees 2 millions na wapo watatu na ada hata ipandishwe vipi hulalamiki unalipa ila wakati huo huo unalalamikia kuendeleza pale unapoenda kumuomba Mungu ambaye unaamini anawalinda huko shuleni awasaidie wanao kimasomo halafu unajiita muumini?

Siku wakifeli lawama kwa Mungu ooh why God why God hapo tena yoote unayasahau,watu mnapenda vitu smooth sana hii imani wapo watu wameifia,Mtume Petro amesulubishwa kichwa chini miguu juu wapo waliotumbukizwwa kwenye mapipa ya mafuta yanayochemka lakini Mkristo wa leo unalalamika kutoa 5K mchango wa kupaka Kanisa rangi mimi natamani ifike siku Kanisa liseme yeyote asiyeweza kuziishi sheria za Mungu na Kanisa sawasawa huyo ametengwa,sijisifii ila mimi natoa sana michango na toka nianze kutoa hakuna siku nimekosa kula,kufanya maendeleo yangu binafsi au kuweka akiba ya kutosha.

Mkiambiwa toeni Zaka hamtaki unadhani kwa wingi Makanisa ya Kikatoliki yanaojaza kila mmoja angetoa Zaka kikamilifu kuna ambaye angeombwa atoe mchango wa aina yoyote?
Naona katekisa umekuja kuweka msisimtizo..

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama umejitenga na kanisa unategemea nini ?
Kama wale wabunge wa VII C wanaoshawishi kuwa Elimu haina maana yoyote, ili hali wanalamika kutopewa fursa ya kuendelea na Elimu kwa kukosa cheti cha kidato cha nne.
 
.......................Ieleweke na hii ipo clearly kabisa kwa muumini anayejua anachoabudu kwamba Kanisa siyo chombo cha kuhukumu/kusamehe dhambi za watu au kulazimisha maiti ikiri uwepo wa Mungu kazi ya Kanisa ni kuwaongoza watu kwenye njia sahihi na kwa ukali ili wamjue Mungu na wajue anataka nini kutoka kwao,Kanisa Catholic halipepesi macho hasa kwenye suala la nidhamu kwenye mambo ya Kimungu na hii kutokumzika mfu hiyo siyo hukumu linachofanya Kanisa ni kujitenga na unafiki wa kuaminisha jamii fulani alikuwa anaamini uwepo wa Mungu hali ya kuwa hajawahi hata mara moja kuonekana akifanya mambo ya Kimungu alikuwa anaishi kichafu chafu tu,(na Kikatoliki mambo ya Kimungu ni pamoja na sala za kila siku zilizoamriwa kama Jumuiya,kufunga ndoa kuhudhuria ibada etc)huwezi kufa kwenye pombe zako huko halafu utegemee Kanisa lije kuaminisha umma kwamba ulikuwa muumini safi na kuisaidia maiti yako kumkiri Mungu.

Huwa nashangaa mtu anayejiita Mkatoliki (kama mleta mada) anashindwa nini kuelewa jambo dogo kama hili na hii inaonyesha ni kwa namna gani hakujua/hajui maana ya imani,wanaojua hata afe baba yao na hakufanyiwa ibada hawashangai ni sheria imewekwa mtafute Mungu ukiwa hai hakuna siku litasimama Kanisa liisaidie maiti yako kukiri uwepo wa Mungu.
Hiyo sheria imewekwa na mungu?
 
Ave Maria.....
Ave mama yetu
IMG_20210328_215038_472.jpg
 
Hutaweza kubadilisha chochote, unapoteza muda wako tu.
 
Back
Top Bottom