Je, huwa kuna msamaha wa Katibu Mkuu wa bodi ya Ualimu kuhusu hawa waliopata division three?

Mr connecter

Member
Joined
Jul 13, 2023
Posts
16
Reaction score
4

Habali zenu wana ndugu wa jamiiforms​

mimi na kijana wangu anasoma uwalimu wa special diploma ya sekondari ya miaka mitatu, na mwaka huu ni wapili wa masomo amefanya mtihani wa taifa wa kidato Cha sita amepata division three ya point 17 (3.17) na amefeli somo moja la kufundishia.
ila sasa vigezo vya kuendelea na masomo anatakiwa asifeli ata somo moja na apete division 1,2 au 3
ila sasa nimesikia kwamba hua Kuna msamaha wa katibu mkuu wa bodi ya uwalimu kuhusu kwa hawa watoto waliopata division three na kushindwa mtihani mmoja huwa wanaenda mwaka wa tatu. Nakijana wangu anajituma kwa kweli kwenye masomo Ila ana shida ya kupoteza kumbukumbu na huwa anatumia dawa.
Naomba kuuliza kuhusu huu msamaha wa katibu mkuu kwa mwaka huu upo?
Na website yao ni ipi wanapo tangaza kuhusu taalifa hizi official?
Na tarehe ipi hutolewa wanachuo hao kwendelea na masomo yao chuoni?
MSAADA WENU WAKUU
 
Kwa uandishi huu
Just ajili hata kusoma kozi ya ualimu wa chekechea ni aibu
 

Ngoja waje; ila ungeli hariri andiko lako vyema ingependeza zaidi kupata wachangiaji wenye kumaanisha (serious).
 
Unaulizia taalifa na talee?
 
Anayepoteza kumbukumbu atibiwe kwanza, akipona anaendelea.

Suppose akawa mwalimu, akasahau anachofundisha kutakuwa na ufanisi?


Pole Kwa changamoto.
 
Sawa kaka
Nauliza kuhusu
Mkuu hebu panga vizuri kwanza habari yako ili ueleweke.
Msamaha wa katibu mkuu wa bodi ya uwalimu wa special diploma ya sekondari je kwa mwaka huu upo kwa wake waliopata division three na kufeli somo moja hupo
 

Habali zenu wana ndugu wa jamiiforms​

mimi na kijana wangu anasoma uwalimu wa special diploma ya sekondari ya miaka mitatu, na mwaka huu ni wapili wa masomo amefanya mtihani wa taifa wa kidato Cha sita amepata division three ya point 17 (3.17) na amefeli somo moja la kufundishia.

ila sasa vigezo vya kuendelea na masomo anatakiwa asifeli ata somo moja na apete division 1,2 au 3.

ila sasa nimesikia kwamba hua Kuna msamaha wa katibu mkuu wa bodi ya uwalimu kuhusu kwa hawa watoto waliopata division three na kushindwa mtihani mmoja huwa wanaenda mwaka wa tatu.
Nakijana wangu anajituma kwa kweli kwenye masomo Ila ana shida ya kupoteza kumbukumbu na huwa anatumia dawa.

Naomba kuuliza kuhusu huu msamaha wa katibu mkuu kwa mwaka huu upo?

Na website yao ni ipi wanapo tangaza kuhusu taalifa hizi official?
Na tarehe ipi hutolewa wanachuo hao kwendelea na masomo yao chuoni?

MSAADA WENU WAKUU
 
Nisha lekebisha makosa ya kimandishi nadhani sasa nimeeleweka vizuli
 
Japokuwa umeandika pasipo mpangilio lakini mimi nimekuelewa. Umesema kijana wako amefeli somo moja katika mtihani wa kidato cha sita na hili linamnyima fursa ya kuendelea mwaka wa Tatu katika masomo yake ya Diploma maalum hivyo unaomba apewe upendeleo wa kuendelea mbele hivyo hivyo!
Upande wa pili umesema kijana wako ana juhudi kubwa wana ya kusoma lakini ana ugonjwa wa kusahau na yuko kwenye dawa.

Ushauri wangu ni huu;
-Huo upendeleo haupo!
-Kama anaruhusiwa kurudia mwaka ajipange kurudia tu mwaka.
-Huenda hii fani ya kusoma soma, kuelewa, kukumbuka na kuja kufundisha hamfai kijana wako (kwa hali alinayo), tafakari tofauti na fikiria fani nyingine ambayo itakuwa bora zaidi kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…