Je huyu binti ana upendo na Mimi kweli?

Je huyu binti ana upendo na Mimi kweli?

Rajabmbisha

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2024
Posts
316
Reaction score
530
Habari wana JF,ipo hivi Kuna binti mgeni hapa mtaani kwetu, aliletwa familia moja awasaidie kazi za ndani.

Si mnajua Tena akija mwanamke mpya lazima wanaume waanze process za kumunyatia.

kifupi huyu manzi nilitokea kuvutiwa nae,si mnajua warang walivyo wazuri

Siku moja natoka job nikakutana nae anatoka dukani nikaomba nikapewa freshi,nikaanza kumtongoza akaniambia Ana mtu wake.

Ila niliendelea kukaza hivyo hivyo Mara ukipga simu hapokei sms ukimtumia asubuh anajibu mchana nilikata tamaa sikumtafuta tena, kilicho fanya mpaka nikaja hapa.

Huyu manzi amenitafuta na anadai ananipenda tuna wiki tokea mawasiliano yarudi,kitu ambacho kinachoshangaza yupo sipeed sana, simu Kila Mara usumpufu Kama wote.

Ndo najiuliza hapa je huyu manzi ananipenda au ananichora tu, maana hawa viumbe siyo wa kuwaamini sana
 
Omba mzigo..

Hicho ndio kipimo cha watoto wa 2000.

Akitoa bure bila mashart ujue kuna moja kati ya haya mawili.

Anakupenda au mtego..

Anakupenda kwa maana labda amependa ule uvumilivu wako wa kutomshobokea japo ulifikisha hisia zako kwake nae hakutoa ushirikiano.

Au Mtego, kwamba yawezekana kaharibu kwao so anataka pa kujifichia.

Kwahyo omba mzigo.....Akiomba hela basi ujue puro yupo mawindani anataka kuku-kanda.

Akikubali kiulaini ujue shetani yupo kwenye Kampeni, kaa chonjo kaka.

Akikuzungusha bila kukuomba hela wala maneno Mabaya, angalau kwa mwezi mmoja ndio akatoa.

Huyo ni mke pga kavu au Oa kabisa.
 
Omba mzigo..

Hicho ndio kipimo cha watoto wa 2000.

Akitoa bure bila mashart ujue anakupenda au mtego.. Yawezekana kaharibu kwao an anataka pa kujifichia.

Akiomba hela baada ya kua umeomba mzigo basi ujue puro yupo mawindani anataka kuku-kanda.
Anataka mgombanishe na Mungu wake na anataka kumpa gonjwa
 
M
Omba mzigo..

Hicho ndio kipimo cha watoto wa 2000.

Akitoa bure bila mashart ujue anakupenda au mtego.. Yawezekana kaharibu kwao an anataka pa kujifichia.

Akiomba hela baada ya kua umeomba mzigo basi ujue puro yupo mawindani anataka kuku-kanda.
Mzigo nimeomba tayari,na amekubali nakosa nafasi tu ya kumla,kiukweli pesa Bado hajaomba
 
Back
Top Bottom