Je huyu binti ana upendo na Mimi kweli?

Je huyu binti ana upendo na Mimi kweli?

Shauri yako ogopa sana situation kama hiyo hapo kwa akili za hawa wenzetu kuna kitu kizito kakufichia akupige nacho
 
kabila lenyewe Mrangi

mrangi hebu mpe sifa za dada zako jinsi walivyo.

mimi binafsi hilo kabila siwezi kuoa. Yaani utaletewa makaka na wajomba zake ambao wanamla.

halafu muda mwingi wao ni kuongea kilugha tu.
 
Weka ili nyimbo ya "RUN" alafu toka nduki kuelekea kushoto, usigeuka nyuma.
 
Back
Top Bottom