Je huyu binti ana upendo na Mimi kweli?

Shauri yako ogopa sana situation kama hiyo hapo kwa akili za hawa wenzetu kuna kitu kizito kakufichia akupige nacho
 
Mimba mimba mimba.
Akishoboka piga mashine haswa ila hakikisha unatumia condm
 
kabila lenyewe Mrangi

mrangi hebu mpe sifa za dada zako jinsi walivyo.

mimi binafsi hilo kabila siwezi kuoa. Yaani utaletewa makaka na wajomba zake ambao wanamla.

halafu muda mwingi wao ni kuongea kilugha tu.
 
warangi kipa katoka na beki hazikabi!

wengi hawana antenna/kisimbuzi
 
Weka ili nyimbo ya "RUN" alafu toka nduki kuelekea kushoto, usigeuka nyuma.
 
Mpime ngoma na mimba kabla hujala
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ huyu jamaa soon anabebeshwa mzigo kati ya mimba ya kusingiziwa au Gono lisilotibika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…